Viongozi wazungumza wakati wa utangazaji wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2020 kwa mkoa wa Lindi.
Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Bi. Rehema Madenge ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2020 na kutoa maelekezo kwa halmashauri ambazo zinaupungufu wa madarasa.
Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.