• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

AAS MIPANGO NA URATIBU AFUNGUA MAFUNZO YA MFUMO WA MANUNUZI KWA WAJASIRIAMALI LINDI MANISPAA NA MTAMA DC.

Posted on: September 3rd, 2025

Wajasiriamali wadogo kutoka katika Halmashauri za Lindi Manispaa na Mtama wanufaika kwa kupatiwa mafunzo ya manunuzi ya umma kwa njia ya kielectroniki, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali kuhakikisha makundi maalumu yanashiriki kikamilifu katika tenda za serikali ambazo zinatengwa kwa asilimia 30 kwa mujibu wa sheria.


Akizungumza wakati wa kufungua semina hiyo,Katibu Tawala Msaidizi Mipango na Uratibu Ndugu. Juhudi Mgallah amewapongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) kwa kuwafungulia njia na kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo ili waweze kukuza mitaji yao na vipato vyao kupitia zabuni zinazotolewa na serikali.


"Tunaamini kwamba mafunzo haya yanakwenda kuwapa chachu ya kuboresha huduma zenu ili kuweza kuweka ushindani katika tenda zinazotangazwa na serikali kwa ajiri ya makundi maalumu kwa mujibu wa sheria. Vilevile, tunawaomba mukawe walimu na mabalozi kwa wajasiriamali wenzenu ambao bado hawajapata mafunzo haya, lengo ni wajasiriamali wote waweze kupata nafasi ya kushiriki na kutoa huduma kwa serikali" Ndg. Mgallah.


Aidha, Mgallah amewataka wajasiriamali hao kuwa mstari wa mbele kudumisha na kuenzi amani ya nchi hususan katika kipindi hiki cha uchaguzi na kutoa taarifa za viashiria vya uchochezi na uvunjifu wa amani kwa serikali na kuacha kufata mikumbo.


 “Tunapokwenda kupiga kura tarehe 25 Oktoba, tuhakikishe tunashiriki uchaguzi kwa amani, tuache kuwa vichochezi wa uvunjifu wa amani na uanzishaji wa vurugu, tuache  kufuata mikumbo kwa usalama wetu na familia zetu,tuhakikishe tunatii sheria na kuwasikiliza viongozi” aliongeza

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • NI MUHIMU KUWATHAMINI WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII- DKT GOWELLE

    September 06, 2025
  • MAKUNDI MAALUM KUNUFAIKA NA MFUMO WA NeST- KIGAHE

    September 03, 2025
  • AAS MIPANGO NA URATIBU AFUNGUA MAFUNZO YA MFUMO WA MANUNUZI KWA WAJASIRIAMALI LINDI MANISPAA NA MTAMA DC.

    September 03, 2025
  • KIKAO CHA MAANDALIZI YA HAFLA YA UTOAJI VYETI NA VIFAA KWA WAHITIMU WA KOZI YA WATOA HUDUMA ZA AFYA NGAZI YA JAMII- WAJA

    September 07, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.