• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

AZAKI ZAHIMIZWA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA UWAZI WA SHUGHULI ZAO KWA SERIKALI

Posted on: June 24th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga amezitaka Asasi Zisizo za Kiserikali (AZAKI) kujenga na kudumisha Ubia na serikali kwani inatambua mchango wa Asasi hizo katika kuwezesha Maendeleo ya Nchi.

Mhe. Ndemanga ameyasema hayo alipomwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe, Bi. Zainab Telack katika Mkutano wa Mwaka wa Asasi Zisizo za Kiserikali (AZAKI) katika Mkoa wa Lindi yenye kauli mbiu ya 'SERA NA MIONGOZO BORA INAYOTOLEWA NA SERIKALI NI UHAI WA AZAKI'  uliofanyika leo Juni 24, 2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

"Serikali inatambua mchango na umuhimu wa kufanya kazi na mashirika yasiyo ya kiserikali na inatambua mchango wa sekta hiyo katika kukuza uchumi wa nchi na mtu mmojammoja, kukuza na kuibua vipaji mbalimbali pamoja na kulinda haki za binadamu" Mhe. Ndemanga.

Aidha, Mkuu wa wilaya amesisitiza Uwazi na Uwajibikaji wa AZAKI katika shughuli mbalimbali wanazozifanya katika jamii na ndani ya taasisi ikiwemo Vyanzo vya mapato (Fedha) zinazopatikana na kutumika katika taasisi pamoja na kufanya kazi kwa kulinda maslahi ya nchi.

"Mkiwa wawazi mtaaminika na kupewa kazi na serikali lakini nisisitize kufanya kazi kwa kulinda maslahi ya nchi yetu, tusiingie katika matatizo ya kushirikiana na wafadhili wanaotoa fedha bila masharti ili uzipate kiurahisi na uende kinyume cha mila na desturi za jamii zetu tutasababisha vurugu na uvunjifu wa amani"

Asasi Zisizo za Kiraia pia zimetakiwa kutoa taarifa za shughuli zao kila robo ya mwaka pamoja na taarifa za upatikanaji wa fedha na matumizi yake ili kuondokana na shutuma za utakatishaji wa fedha pamoja na kufikisha misaada mbalimbali inayotolewa na wafadhili kwa walengwa kama ilivyopangwa ili kujijengea imani kwa wananchi wanaowahudumia















Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.