• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

DC NDEMANGA ATOA ONYO KWA WAKULIMA WANAOPOTOSHA TAARIFA KATIKA ZOEZI LA USAJIRI.

Posted on: April 22nd, 2024

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Lindi ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga amewaonya wakulima wanaoshirikiana na baadhi ya watendaji kutoa taarifa za uongo wakati wa zoezi zima la usajiri wa wakulima katika mfumo ili kuweza kujiongezea idadi ya pembejeo pindi zinapoanza kugawiwa.

Mhe. Ndemanga ameyasema hayo katika Mkutano wa Uzinduzi wa Usambazaji na Ugawaji wa Pembejeo za Ruzuku ya Serikali kwa Zao la Korosho Msimu wa 2024-2025 ambao umezinduliwa hapa katika kijiji cha Kiwalala, Halmashauri ya Wilaya ya Mtama kwa niaba ya Mikoa yote inayojihusisha na Kilimo cha zao la Korosho.

"Tumeambiwa hapa wakati wa zoezi la utambuzi na usajiri wa wakulima, kuna baadhi ya wakulima kwa kushirikiana na makarani tuliowapa jukumu la kukamilisha kazi hiyo wametoa taarifa za uongo ambapo baadhi yao wamesajiri viwanja vya mipira kama sehemu ya mashamba yao ili tu waweze kupata pembejeo nyingi, kwa mfumo huu tunaotumia sasa tunaenda kudhibiti mianya yote ya udanganyifu na hawa tuliowapata tunaenda kuwapeleka mbele ya sheria. Watumishi wa serikali tunao wajibu wa kudhibiti udanganyifu katika usambazaji wa pembejeo hizi"amesema Mhe. Ndemanga.

Aidha, Mhe. Ndemanga ameeleza kuwa ni dhamira ya serikali kuhakikisha kuwa kila mkulima ananufaika na shughuli anayoifanya na katika kuhakikisha utekelezaji wa dhamira hiyo kumefanyika ma boresho katika sekta ya kilimo hususani katika Zao la Korosho ambapo zaidi ya Bilioni 1 zimetolewa ili kuwezesha upatikanaji wa pembejeo kwa wakulima.

"Rais angependa mkulima kuona mkulima mmojmmoja anakuwa na uwezo wa kuboresha maisha yake kwa kuweza kuwa na vyanzo mbalimbali vya kipato, inasikitisha sana kuona mkulima anayefanya mauzo ya mamilioni baada ya muda mchache anaishiwa pesa zote wakati hajawekeza hata katika kuboresha makazi yake au kusomesha watoto wake, niwahusie sana tujifunze nidhamu ya fedha, utajiri hauji mara moja jiwekeze kidogokidogo utafikia malengo yako uliojiwekea"

Vilevile, Mkuu wa Wilaya ametoa rai kwa Bodi ya Korosho Tanzania kuamgalia namna ya udhibiti wa vifungashio na makopo yanayotumika kuhifadhia pembejeo hizo ambazo huzagaa mitaani na katika vyanzo vya maji hali inayotishia usalama wa binadamu kutokana na kutafutiwa matumizi mengine mbadala kama kuhifadhia maji ya kunywa kwa watoto wawapo shuleni na kusababisha uchafuzi wa mazingira hususani katika vyanzo vya maji.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.