• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

LINDI YAINGIZA BIL. 364.3 MAUZO YA KOROSHO 2024/25.

Posted on: August 23rd, 2025

Akiwasilisha taarifa ya uendeshaji wa zao la korosho  kwa Mwaka 2024/2025, Katibu Tawala Msaidizi, uchumi na uzalishaji Mkoa wa Lindi Ndugu, Mwinjuma Mkungu ameeleza kuwa, Mkoa wa Lindi umeuza  tani 115,680 za korosho ghafi zenye thamani ya Shilingi Bilioni 364.38 katika msimu wa 2024/2025.


Ndugu Mkungu ameyaeleza hayo hayo Agosti 22/2025 katika Mkutano Mkuu wa wadau wa Tasnia ya korosho unaofanyika Jijini Dodoma.


Katika kuhakikisha Mkoa wa Lindi unaongeza uzalishaji wa zao la korosho, Mkoa umeweka mikakati kabambe ikiwemo kuondoa mikorosho ya zamani ambayo imezeeka na kuzalisha miche bora ya zao hilo ili kuongeza uzalishaji, alieleza Ndugu Mkungu.


■ _Huku Mtama ikiibuka na ushindi wa kuwa halmashauri inayofanya vizuri katika kusimamia mikakati ya wakulima wa korosho, kuendeleza na kusaidia wakulima wa zao  hilo kufikia lengo


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RAS LINDI APOKEA TUZO YA PONGEZI

    August 26, 2025
  • RAS LINDI AWATAKA WAJASIRIAMALI KUWA WABUNIFU ILI KUONGEZA TIJA KATIKA BIDHAA WANAZOZALISHA.

    August 25, 2025
  • LINDI YAINGIZA BIL. 364.3 MAUZO YA KOROSHO 2024/25.

    August 23, 2025
  • VIJANA WATAKIWA KUWA WAVUMILIVU, WAADILIFU NA WACHAPAKAZI ILI KUFIKIA MALENGO YAO NA KUJENGA IMANI NDANI YA JAMII

    August 22, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.