• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MAJIKO YA RUZUKU YENYE THAMANI YA MIL 317.3 KUUZWA KWA BEI YA RUZuKU LINDI.

Posted on: January 3rd, 2025

Kutokana na ongezeko la uharibifu wa Mazingira na mabadiliko ya tabia ya nchi pamoja na athari za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia , Matumizi ya nishati safi ya kupikia ni ajenda mahususi ambayo imechukua nafasi kubwa katika sera, Mipango na Mikakati ya Serikali mbalinbali duniani.Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ajenda ya kitaifa ya Matumizi ya Nishati safi ya kupikia ikisimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alielekeza kuandaliwa kwa mkakati wa Taifa utakaotoa mwongozo wa Matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo ifikapo 2034 watanzania zaidi ya 80% watumie nishati hiyo .

Wakala wa nishati safi ya kupikia (REA) unatekeleza mkakati huo kwa vitendo, ambapo leo agosti 3, 2025 Kaimu Meneja Msaidizi wa ufundi kwa waendelezaji wa Miradi Mhandisi. Emmanuel Yesaya ametambulisha mtoa huduma wa uuzaji wa majiko ya gesi kwa  bei ya ruzuku mbele ya katibu Tawala Mkoa wa Lindi ambapo jumla ya majiko 16,275 yatauzwa  kwa bei ya Tsh elfu 19,500, yenye thamani ya Mil 317.3. 

Mhandisi Emmanuel amesema kuwa, wakala wa Nishati Vijijini (REA umeingia mkataba na Mtoa huduma kampuni ya Taifa Gas Limited kwa ajili ya kutekeleza mradi huo, ambapo halmashari zote zitafikiwa na mtoa huduma ikiwa lengo kufikia mpango na mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kabla ya 2034 ili kunusuru afya za wananchi na mazingira.Kwa upande wake katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena omary ameendelea kumshukuru Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kusimamia mpango huo  kwa watanzania wakiwemo wa Mkoa wa Lindi kwasababu majiko hayo ya gesi yanakwenda kuwa msaada mkubwa kwa kurahisha upikaji na kupunguza muda mwingi wa kutafuta kuni ama mkaa ambao unaathari kwa afya na mazingira .

Aidha , ametoa wito kwa wananchi kujaza mitungi ya gesi pale inapoisha ili kuendelea kutumia nishati safi.Ametumia fursa hiyo kutoa maelekezo kwa mtoa huduma Taifa Gas kusambaza mawakala wa huduma hiyo kila kata ili kuwarahishia wananchi kupata huduma hiyo.

Naye Meneja Mauzo Kanda ya Kusini Bi Hawa Omary Juma ameeleza namna walivyojipanga katika kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kirahisi.@wakalawanisha

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.