• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Manispaa ya Lindi yatakiwa kuboresha uwanja wa Illulu

Posted on: November 21st, 2018

Manispaa ya Lindi yatakiwa kuboresha uwanja wa Ilulu

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa ameiagiza Manispaa ya Lindi kufanya ukarabati katika uwanja wa michezo wa Ilulu.

Maagizo haya ameyatoa wakati alipotembelea uwanja wa michezo wa Ilulu kwa lengo la kuona hali ya uwanja ilivyo kwa sasa. Uwanja wa Ilulu ulijengwa mwaka 1957, na toka kipindi hicho uwanja umekuwa ukifanyiwa ukarabati mdogo lakini kwa sasa unatakiwa kufanyika ukarabati mkubwa.

Mhe. Majaliwa alisema uwanja wa Ilulu unatakiwa kufanyiwa ukarabati kwani ndio uwanja unaotakiwa kutumika kwa shughuli mbalimbali za mkoa kwa kuwa upo katika makao makuu ya mkoa. Ambapo kwa mwaka 2019 mkoa wa Lindi utakuwa mwenyeji wa maadhimisho kilele cha mbio za mwenge wa uhuru, kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere na wiki ya vijana. Pia mashindano ya taifa cup 2019 yanatarajiwa kufanyika katika mkoa wa Lindi..

“Mkoa wa Lindi umachaguliwa kuwa ndio utakaoadhimisha kilele cha mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2019, pia TFF wamenieleza kuwa wanataka mashindano ya taifa cup 2019 yafanyike mkoani Lindi. Kutokana na umuhimu wa matukio hayo naiagiza manispaa ya Lindi kuhakikisha wanaufanyia ukarabati uwanja huu kwa kujenga makujukwaa, vyoo, nyasi, fensi ndogo ya sehemu ya kuchezea mpira na kuuboresha ukuta unaozunguka uwanja”, alisema Mhe. Majaliwa.

Uwanja wa Ilulu kwa sasa una majukwaa matatu (3) ambapo kuna jukwaa kuu na majukwaa mengine 2 ambayo yote yamejengwa katika upande mmoja. Mhe. Majaliwa ameiagiza manispaa kuongeza majukwaa mengine mawili (2) kwenye upande mwingine wa uwanja ili kila upande uweze kuwa na majukwaa.

Mkurugenzi wa manispaa ya Lindi, Jomaary Satura amesema kuwa manispaa imeyapokea maelekezo ya Mhe. Waziri Mkuu na kuahidi kuwa manispaa kwa kushirikiana na wadau mbalimbali itajipanga kuhakikisha uwanja unafanyiwa ukarabati na kukamilika kabla ya Septemba, 2019.

Nao wananchi wa manispaa ya Lindi wamempongeza Mhe. Waziri Mkuu kwa kutoa maagizo ya ukarabati wa uwanja wa Ilulu kwani ni muda mrefu uwanja huo haujafanyiwa ukarabati mkubwa.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.