• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MHE. TELACK AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUHAMASISHA ZOEZI LA CHANJO YA POLIO

Posted on: August 31st, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainabu Telackamewaomba viongozi wa dini kuisaidia Serikali kuhamasisha wananchi ili watotowote wapate huduma ya chanjo ya ugongwa hatari wa polio.

Mhe. Telack amewaomba viongozi hao katika kikao cha uzinduzi wakampeni ya chanjo ya ugonjwa wa polio kilichofanyika jana jumatatu tarehe 31Agosti 2022 kwenye  ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi.

Mhe. Telack kupitia kikao hicho amewaondoa wasiwasi wananchi kuwachanjo ya matone ya polio ni salama hivyo jamii iwapeleke watoto kupata hudumahiyo kwenye vituo vya muda vitakavyokuwepo maeneo ya masoko, shule, misikiti,makanisa, mashambani, vituo vya mabasi, maeneo ya Uvuvi na vituo vya kudumu.Lakini pia wataalam wa afya watapita nyumba hadi nyumba kwa ajili ya kuwapatiawatoto huduma hiyo.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Ngusa Samike amesemakuwa serikali imeamua watoto wote chini ya miaka mitano wapatiwe chanjo ilikuwakinga na ugonjwa hatari wa polio ambao umeibuka tena hivi karibuni katika nchi jirani, hivyo zoezi la chanjo litasaidia kuzuia ugonjwa huo kuingia nchini.

Kwa mujibu wa Afisa Afya Ndg. Richard Shabani katika taarifa yakealiyoisoma mbele ya Mkuu wa Mkoa amesema kuwa ugonjwa wa polio unaenezwa kwakutumia maji au chakula chenye kilichochafuliwa na kinyesi chenye virusi vyaugonjwa wa polio.Hivyo ameongeza kuwa ili kukabiliana na ugongwa huo haina budikuzingatia suala la usafi wa mikono kwa kutumia sabuni na matumizi sahihi yavyoo.

Kampeni ya chanjo ya polio kwa Mkoa wa Lindi ina lengo la kuchanjajumla ya watoto 182,312 ambalo litafanyika kwa siku nne kuanzia tarehe 01Septemba 2022 na kumalizika tarehe 04 Septemba 2022. Aidha, dawa za chanjo hiyozimekwisha sambazwa katika Halmashauri zote za Mkoa wa Lindi tayari kwautekelezaji. Makundi ya watoto chini ya miaka mitano watakaopatiwa chanjo hiyoni wale ambao walikwisha chanjwa awali na ambao bado hawajawahi kupata chanjo hiyo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.