• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mhe. Zambi: Tumieni fedha za TASAF kujikwamua kiuchumi.

Posted on: January 2nd, 2019

Mhe. Zambi: Tumieni fedha za TASAF kujikwamua kiuchumi.

Wanufaika wa mradi wa TASAF watakiwa kutumia fedha wanazopata kujikwamua kiuchumi.

Haya yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi wakati akizungumza na wanufaika hao katika kijiji cha Songa mbele kilichopo wilayani Nachingwea ambapo alitumia nafasi hiyo kukagua miradi ya baadhi ya wanufaika.

Mhe. Zambi aliwaeleza wanufaika kuwa ni lazima watambue kuwa kuitwa maskini sio sifa hivyo ni lazima kila mmoja atumie fedha hizo katika kuwekeza kwenye miradi midogomidogo ambayo itamuwezesha kuendesha maisha yeke.

“Mradi huu wa TASAF hatuna uhakika kama utakuwa endelevu kwa miaka yote hivyo kila mnufaika anao wajibu wa kuhakikisha hizi fedha kidogo anazopata anazitumia kwa kuwekeza kwenye shughuli ndogo ndogo za kiuchumi kama ufugaji kuku lengo likiwa kujiongezea kipato”, alisema Mhe. Zambi.

“Lakini pia ni lazima uongozi wa wilaya upitie upya majina ya wanufaika kwani limekuwepo tatizo la kuchaguliwa watu ambao sio sahihi kutokana na vigezo vilivyowekwa, hivyo viongozi wa serikali ya kijiji ni lazima mhakikishe wale mnaowapendekeza wawe ni watu sahihi kwa mijibu wa vigezo vilivyowekwa”, aliongeza Mhe. Zambi.

Aidha, Mhe. Zambi wamewataka wataalam wa halmashauri kuhakikisha wanawatembelea mara kwa mara wanufaika wenye miradi kwa lengo la kuwapa ushauri wa kitaalam katika miradi wanayoitekeleza ili miradi hiyo iweze kuwa na tija.

Wanufaika wa mradi walieleza kuwa mradi huu umekuwa ni msaada mkubwa kwao kwani wengine umewawezesha kujenga/kumalizia nyumba, kuanzisha ufugaji wa kuku, kujiunga na vikundi vya kuweka na kukopa, hivyo wameishukuru serikali kwa kuwasaidia kupitia mradi wa TASAF.

Wilaya ya Nachingwea kwa kipindi cha Novemba – Decemba, 2018 imepokea kiasi cha shilingi 151,152,000 kwa ajili ya walengwa wa mradi wa TASAF ambapo walengwa wa Kijiji cha Songambele ambao ni kaya 51 wamepokea jumla ya shilingi 1,428,000.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.