• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MKOA WA LINDI WAJIPANGA KUFIKIA DIJITI MOJA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI NA WATOTO WACHANGA

Posted on: August 30th, 2025

Kauli Mbiu: “Tumia Taaluma Yako, Tokomeza Vifo vya Mama Vitokanavyo na Uzazi na Vifo vya Watoto Wachanga.”

Mkoa wa Lindi unaendelea na harakati za kuhakikisha kuwa vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga vinapungua hadi kufikia dijiti moja.


Hayo yameelezwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi Dkt. Kheri Kagya katika hafla fupi ya kuhitimisha kikao kazi cha siku tatu cha kujadili Vifo vitokanavyo na Uzazi na Watoto wachanga ngazi ya Mkoa kilichokutanisha timu ya wataalamu Wasimamizi wa Afya ngazi za Halmashauri na Mkoa (CHMT na RHMT)


"Tuna kila sababu ya kujivunia mafanikio tunayoendelea kuyapata katika mapambano dhidi ya vifo vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga, na hii ni kutokana na uwajibikaji wa uongozi na watendaji katika sekta ya afya. Takwimu zinaonyesha kuwa kuanzia mwezi Jan hadi Juni 2025 tuna vifo 9 tu Mkoa mzima" Dkt. Kagya


Akimuwakilisha Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Ndugu. Nathalis Linuma ameeleza kuwa tathmini imeonyesha ongezeko la akinamama wanaojifungua katika vituo vya afya kutoka  96% mwaka 2021 hadi 98% mwaka 2024 na kueleza kuwa ongezeko hilo ni ishara nzuri, na kuwataka wataalamu kuboresha na kujikita kutoa huduma bora za afya kwa mama na mtoto.


Aidha, Ndugu. Linuma amewataka wataalamu kuhakikisha kuwa wajawazito wanapata elimu ya umuhimu wa kuhudhuria kliniki katika miezi ya awali ya ujauzito ili kufikia lengo la serikali la 60%.Huku akisisitiza umuhimu wa kuwatumia watoa huduma za afya ngazi ya jamii CHW kuelimisha na kushawishi wanajamii juu ya umuhimu wa hudhurio la awali kwa wajawazito.


Bi. Sophia Mchinjita, Mratibu wa Afya ya Uzazi na Mtoto Kanda ya Kusini amepongeza uratibu wa zoezi la uchangiaji na ukusanyaji wa damu salama unaofanywa na Mkoa, ambapo mwaka 2024 Mkoa wa Lindi umekua kinara katika zoezi la uchangiaji.


Bi. Mchinjita ameongeza kuwa damu zinazokusanywa zinatumika kwa akiba inapotokea dharura ya mama anayejifungua kupoteza damu nyingi na kwa watoto wachanga wanaozaliwa na changamoto hiyo hivyo kuokoa maisha.


Aidha, amezipongeza Halmashauri za Kilwa na Mtama kwa kupunguza kwa kasi vifo vya mama na mtoto ambapo kwa mwaka huu Halmashauri ya Kilwa imeripoti  kifo 1 tu, ukilinganisha na awali ambapo ilikua inaongoza kwa kuwa na vifo vingi vitokanavyo na uzazi.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TAHADHARI YA MATAPELI WA MTANDANI

    September 03, 2025
  • MKOA WA LINDI WAJIPANGA KUFIKIA DIJITI MOJA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI NA WATOTO WACHANGA

    August 30, 2025
  • WANANCHI ZAIDI YA 2800 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI MTAMA- LINDI

    August 29, 2025
  • AFYA MOJA NA MPANGO WA UDHIBITI NA USAMBAZAJI MAGONJWA YA MLIPUKO

    August 28, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.