• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MKURUGENZI WA TAMISEMI DKT. NTULI AFANYA ZIARA MAALUM LINDI

Posted on: February 5th, 2023

Mkurugenzi Idara ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe- kutoka Ofisi ya Rais, TAMISEMI Dkt. Ntuli Kapologwe akiongoza timu yake ya wakaguzi Jumamosi iliyopita wamefanya ziara ya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa Hospitali mpya ya Wilaya ya Liwale.

Dkt. Ntuli ameongoza timu yake kufanya ukaguzi huo akiambatana na Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Khery Kagya na timu yake ya Mkoa pamoja na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Liwale Dkt. Groly Andrew na timu yake ya Wilaya.

Pamoja na ukaguzi huo, Dkt. Ntuli na timu yake walifanya ukaguzi wa huduma na utendaji kwenye Hospitali ya Wilaya ya Liwale na baadae jioni alifanya kikao na Viongozi wa Hospitali hiyo, Afisa Mfawidhi na baadhi ya watumishi wa Hospitali hiyo, Mganga Mkuu wa Wilaya na timu yake, Mganga Mkuu wa Mkoa na timu yake pamoja na wadau wanaotoa huduma za afya Wilayani hapo.

Akiongoza kikao hicho Dkt. Ntuli amesisitiza masuala ya uboreshaji wa miundombinu na huduma, kuimarishwa na usimamizi dhabiti wa vyanzo vya mapato, ushirikishwaji wa watumishi wote ikiwemo kusimamia stahiki zao pamoja na utekelezaji wa majukumu kwa kuzingatia miongozo iliyopo.

Katika kikao hicho, Dkt. Ntuli ameahidi kutatua changamoto mbalimbali ambapo Kwa kuanzia Serikali itapeleka magari mawili Hospitalini hapo pamoja na kutatua changamoto ya uchache wa watumishi kwa kuajiri watumishi kwa kuzingatia mazingira ya Wilaya ya Liwale.

Awali akizungumza mbele ya wajumbe wa kikao, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi Dkt. Khery Kagya akishukuru ujio wa Dkt. Ntuli na timu yake Mkoani Lindi, amesema kuwa ujio huo umesaidia kubainisha mapungufu katika maeneo mbali mbali ya Hospitali ya Wilaya ya Liwale huku akiahidi kufuatilia na kusimamia ipasavyo maelekezo yote yaliyotolewa kwa Mkoa mzima.

Dkt. Ntuli na timu yake wamefanya ziara Wilayani Liwale na Ruangwa Mkoani Lindi baada ya kufanya ziara kama hiyo Mkoani Mtwara. Ziara hii imefanyika maalum ikiwa na lengo kuu ka kuboresha huduma za afya zinazotolewa na Serikali Kwa jamii.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.