• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MKUU WA MKOA WA LINDI ATOA SIKU SABA KWA WAZAZI KUWAPELEKA WATOTO WAO SHULENI.

Posted on: January 23rd, 2023

 Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack ametoa agizo la kufanya msako mkali kwa wazazi na walezi wote ambao wameshindwa kuwapeleka watoto wao ambao wamechaguliwa kujiunga kuanza masomo yao ya kidato cha kwanza kwa muhula mpya wa masmo kwa mwaka 2023.

Mhe. Telack ametoa agizo hilo kufuatia kutoridhishwa na hali ya mahudhurio ya wanafunzi wanaopaswa kujiunga na masomo ya sekondari katika shule ya sekondari Mikoma, iliyopo katika kata ya Pande, wilaya ya Kilwa ambapo pia amegaazia watendaji wa kata kuandaa mkataba maalumu ambapo mzazi atatakiwa kuhaidi kumsimamia mtoto wake kusoma hadi atakapomaliza bila utoro wala kukatisha masomo.

“Tutatembea na polisi hapa, tutatembea na mahakama inayotembea pia, tukimkuta mzazi hajapeleka mtoto wake shule hukumu itatoka hapohapo, sasa ili tusifike huko watoto wapelekwe shule, tuachane na visingizio vya watoto hawana sare, wavae zile walizokuwa wanavaa shule za msingi hayo ndio maelekezo ya serikali ili tu asibakie mtoto ambaye hajaenda shule wakati wenzao wameshaanza masomo, hawa walimu wetu hawatarudi nyuma kufundisha na wala siku za kukaa darasani hazitaongezwa kwakua mtoto wako hajaripoti shuleni. Natoa siku saba tu walimu wakuu watuambie idadi ya watoto ambao bado hawajaripoti shuleni ili tuanze msako nyumba hadi nyumba”

Mkuu wa shule ya Mikoma, Mwalimu Julius Peter ameeleza “ Kwa mwaka 2023, tunapaswa kuwa na wanafunzi 113, ambao kati yao wavulana ni 40 na wasichana 73 lakini hadi sasa wanafunzi walioripoti shuleni kwa ajiri ya kuanza masomo yao jumla yao ni 37 wakiwemo wavulana 17 na wasichana 20 huku wanafunzi 76 wakiwa bado hawajaripoti shuleni na masomo tayari yameshaanza”

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.