• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAS LINDI APONGEZA UBORESHAJI WA DUKA LA DAWA HOSPITALI YA NACHINGWEA

Posted on: September 28th, 2022

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Ndg. Ngusa Samike ameupongeza uongozi wa hospitali ya wilaya ya Nachingwea kwa uboreshaji wa huduma za afya ambao umeenda sambamba na kuboresha miundombinu ya upatikanaji wa dawa katika duka la hospitali hiyo ikiwa ni mbadala wa utoaji wa Fomu 2C ambayo ilikua inampa mgonjwa anaetumia bima ya afya mbadala wa kwenda kupata dawa kwenye maduka ya dawa ya binafsi.

Akitoa mrejesho baada ya kukagua bohari ya dawa katika hospitali hiyo, Mfamasia wa Mkoa wa Lindi  Ezekiel Bulyana  amesema

“Nimekagua kwa kuanza na ujazaji wa nyaraka zote zinazotumika kupokea na kuingiza dawa nimeona zinajazwa vizuri kabisa kwa usahihi, lakini pia idadi ya dawa zilizopo ndani ya bohari ya dawa na duka la dawa la hospitali ni sawa na idadi zilizopo katika katika nyaraka husika, kitu kingine kizuri kilichopo hapa ni uwepo wa dawa ambazo kwa kipindi cha nyuma zilikua zinapatikana kwa kujaziwa Fomu 2C sasa baada ya kutolewa hawa hizo dawa wanazo hii inawapunguzia wagonjwa usumbufu wa kukosa dawa lakini pia hospitali inajiongezea kipato”

Aidha, kutokana na kukosekana na kipimo cha kaswende kwa wajawazito katika hospitali hiyo tangu mwezi Mei, kutokana na kukikosa MSD Katibu Tawala amesema

“kutokana na umuhimu na madhara ya kukosekana kwa kipimo hiko kwa mama mjamzito na mtoto aliyepo tumboni, tuangalie namna ya kukipata kipimo hiko kwa mshitiri, nawapongeza kwa uboreshaji wa duka la dawa na uwekaji wa kumbukumbu zilizo sahihi wa madawa, na nasisitiza ukusanyaji wa mapato na matumizi ya 50% ya mapato zitumike kama maelekezo yalivyotolewa, lakini pia maabara ya hospitali inahuduma ya vipimo vichache kuliko vile vinavyohitajika, hapa tunapaswa kuwa na vipimo kuanzia 80 hivyo vipimo viongezwe”

Pia, amewataka watumishi wa huduma ya kliniki na matunzo (CTC) kuhakikisha uwepo wa mipira ya kijikinga yaani kondomu katika maeneo ya faragha kama maeneo ya vyoo vya hospitali, maeneo ya kumbi za starehena sehemu za mikusanyiko ya watu kama sokoni na stendi za mabasi ili kuwapa urahisi watu kuzichukua kwa ajiri ya matumizi yao.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.