• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAS LINDI AWATAKA WAJASIRIAMALI KUWA WABUNIFU ILI KUONGEZA TIJA KATIKA BIDHAA WANAZOZALISHA.

Posted on: August 25th, 2025


Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary amewataka wajasiriamali wadogo kuwa wabunifu katika bidhaa wanazozizalisha ikiwa ni pamoja na kutengeneza vifungashio bora vinavyoendana na mahitaji ya soko ili kukuza wigo wa masoko.


Bi. Zuwena ameyasema hayo wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la Wafanyabiashara ndogondogo Mkoa wa Lindi lenye Kauli Mbiu isemayo "Ubunifu na Ushirikiano ni njia ya Mafanikio kwa wafanyabiashara ndogondogo"

Katibu Tawala amesema kuwa serikali inaendelea kutenga maeneo kwa ajiri ya kuanzisha viwanda vidogo vya uzalishaji na uchakati wa bidhaa mbalimbali kupitia Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo  SIDO ili kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali kufanya shughuli zao na kufuatiliwa kwa karibu ili waweze kukua na kusisitiza kuwa ushirikiano baina yao ni nyenzo muhimu ya kufikia maendeleo wanayoyataka.


Aidha, ameipongeza Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu kwa maandalizi ya kongamano hilo na ushiriki wao katika kuhakikisha makundi maalumu yanapata fursa stahiki na kuzitaka Halmashauri za Mkoa wa Lindi kuendelea kuwatambua wajasiriamali hao kwa kuwasajiri na kuwapatia vitambulisho vitakavyowatambulisha katika fursa mbalimbali na kushirikiana na taasisi za kifedha ili kuwapa elimu ya usimamizi wa fedha pamoja na huduma za mikopo itakayowawezesha kuinua vipato vyao.

Bi. Zuwena amewahimiza wajasiriamali kujitokeza kushiriki uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba ili wapate nafasi ya kuchagua viongozi wataotetea maslahi yao na kuwausia kutojihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani katika kipindi chote cha uchaguzi.


Kongamano la Wafanyabiashara ndogomdogo limefanyika leo Agosti 25, katika ukumbi wa mkutano Dockyard katika Halmshauri ya Manispaa ya Lindi na kukutanisha makundi maalumu ya wafabya biashara ndogondogo wakiwemo wajasiriamali wadogo, wamachinga, wasusi, washonaji, waendesha bodaboda, bajaji na guta, baba na mama lishe.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RAS LINDI APOKEA TUZO YA PONGEZI

    August 26, 2025
  • RAS LINDI AWATAKA WAJASIRIAMALI KUWA WABUNIFU ILI KUONGEZA TIJA KATIKA BIDHAA WANAZOZALISHA.

    August 25, 2025
  • LINDI YAINGIZA BIL. 364.3 MAUZO YA KOROSHO 2024/25.

    August 23, 2025
  • VIJANA WATAKIWA KUWA WAVUMILIVU, WAADILIFU NA WACHAPAKAZI ILI KUFIKIA MALENGO YAO NA KUJENGA IMANI NDANI YA JAMII

    August 22, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.