• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RC LINDI AZINDUA KITUO CHA POLISI CH A KISASA DARAJA “A” WILAYA YA LINDI

Posted on: December 17th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mh. Zainab Telack leo tarehe 17/12/2024 amezindua kituo cha polisi wilaya ya lindi.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa na viongozi wa serikali na vyama vya siasa, viongozi wa dini, makampuni binafsi, maafsa, wakaguzi, askari wa vyeo mbalimbali na wananchi.

Akihutubia hadhira iliyohudhuria ufunguzi huo Mh. mkuu wa Mkoa amemshukuru Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt Samia Suluhu Hassani kwa muda mfupi ambao amekuwepo madarakani kwa kulitazama jeshi la polisi hasa kwenye kuboresha miundombinu ya kufanyia kazi na pia miundombinu ya usafirishaji ndani ya jeshi la polisi.

 Ametumia fursa hiyo kulipongeza jeshi la polisi kwa kazi kubwa ya kusimamia amani na kufanya mkoa wa Lindi kuwa wenye utulivu wakati wote.

Awali katika hotuba yake ya kumkaribisha mgeni rasmi kamanda wa polisi mkoa wa lindi Acp. John Imori alisema ujenzi wa kituo hicho daraja A ulianza Mwaka 2022 nakukamilika 2023 ambapo mkandarasi wa mradi huo alikuwa ni fundi mkuu wa kikosi cha Polisi cha ujenzi . Mradi huu umetumia kiasi cha Milioni mia tisa arobaini na nane laki tatu themanini na nne elfu mia tisa hamsini na moja (948,384,951/=)

Sambamba na ujenzi huo, Acp J. Omori alitaja miradi mingine ya ujenzi na ukarabati wa vituo vya polisi vinayoendelea katika hatua mbalimbali ndani ya mkoa wa lindi. miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa kituo cha Polisi daraja c na nyumba mbili za makazi ya askari kwenye kata ya Nandagala wilaya ya Ruangwa Milioni 164, ujenzi wa kituo cha polisi daraja c kwenye kata Kibutuka wilaya ya Liwale wa Milioni 115, ujenzi wa kituo cha polisi daraja c kwenye kata ya Somanga wilaya Kilwa wenye thamani ya sh Milioni 115, Ujenzi wa kituo cha Polisi daraja c kata Tingi wilaya ya kilwa wenye thamani ya sh Milioni115, Ukarabati wa kituo cha Polisi kwenye kata ya Naipanga wilaya ya Nachingwea Milioni 52, ukarabati wa kituo cha Polisi Nanjilinji  kwenye kata ya nanjilinji wilaya ya kilwa Milioni 15.

Aidha, Mhe. Telack ametumia jukwa hilo kuwaomba viongozi wa dini kuwaombea watoto ambao wapo katika hatari ya matendo ya ukataili wa kijinsia na mmomonyoko wa maadili.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.