• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

Posted on: May 2nd, 2025

RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU MKOA WA LINDI.


Katika kuhakikisha Mkoa wa  Lindi unaendelea kuongeza ufaulu na viwango vya ufaulu Mhe. Telack amesisitiza kuhusu kufanya ufuatiliaji wa ufundishaji na ujifunzaji mashuleni kwa kuzingatia maelekezo ya Miongozo mitatu ya elimu yaliyozinduliwa Agosti, 2022, Mikataba ya utendaji kazi na maelekeo ya Mpango Mkakati wa Elimu wa mwaka 2025 ikiwa ni sehemu ya kufanya tathmini na ufuatiliaji wa namna ya ufundishaji na ujifunzaji shuleni.


Maelekezo hayo yametolewa wakati wa hafla ya Utoaji tuzo za Ufaulu na Uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Elimu Mkoani Lindi zilizofanyika Wilayani Ruangwa ambapo Mhe. Telack amewapongeza walimu, wanafunzi na wasimamizi wa sekta ya elimu kwa kuonyesha umahiri unaozidi kuuinua mkoa wa Lindi Kielimu.


"Haya si mafanikio ya bahati nasibu, bali ni matokeo ya kazi ya pamoja, mshikamano na nidhamu ya hali ya juu katika uongozi, usimamizi wa elimu na uwajibikaji wa kila mdau wa elimu hivyo tendo la utoaji wa tuzo ni motisha na kichocheo katika kuchagiza ufanisina utendaji kazi wenye kutoa matokeo chanya na kuthamini kazi nzuri mnayofanya, hongereni sana" Mhe. Telack.


Aidha, Mhe. Telack amesisitiza kuhusu umuhimu wa utoaji mashuleni kama nyenzo ya kumfanya mwanafunzi aweze kufanya vizuri zaidi kitaaluma pamoja na kuagiza walimu na maafisa elimu kusimamia shughuli za elimu ya kujitegemea (EK) ili kuwezesha wanafunzi kujifunza shughuli za mikono wakiwa shuleni.


Kwa kuzingatia kuwa mafanikio ya mwanafunzi unahusiana na nidhamu aliyonayo, Mhe. Telack amewataka walimu kusimamiza nidhamu na mienendo ya wanafunzi wawapo mashuleni ikiwa ni sambamba na kuhakikisha ufuatiliaji wa ufundishaji wa vipindi vya dini mashuleni.


"Naelekeza Wakuu wa shule za Msingi na Sekondari na walimu wote kuendelea kusimamia nidhamu za wanafunzi ipasavyo sambamba na kusimamia matumizi ya kipindi cha dini shuleni, wanafunzi wasimamiwe waweze kushiriki ibada kwa imani zao ili tujenge jamii yenye hofu ya Mungu na inayofata miongozo ya dini" Amesisitiza.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.