• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

SERIKALI KUWASAIDIA WAKULIMA WA MWANI KUFIKIA LENGO LA UZALISHAJI WA TANI 15.

Posted on: August 6th, 2022

Mkurugenzi msaidizi wa Idara ya Ufugaji Viumbemaji, Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Hamisi Nikuli Akizungumza mbele ya Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania, BOT kanda ya kusini Ndg. Nassor Omary katika banda la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye maonesho ya nanenane yanayoendelea kanda ya kusini amesema serikali imepanga kuwasaidia wakulima wa mwani kwa kuwapatia dhana za uzalishaji zao hilo. Dkt. Nikuli ameyaeleza hayo alhamisi ya tarehe 04 Agosti 2022 baada ya Mkurugenzi wa BOT kutembelea banda la Wizara hiyo. 

Dkt. Nikuli amesema kuwa kwa sasa uzalishaji wa zao la mwani ni mdogo ukilinganisha namahitaji ya soko la kimataifa ambapo takribani tani 200,000 zinahitajika nje ya nchi kwa wiki. Lakini uzalishaji wake ni tani elfu 4 tu. Hivyo kwa kuanzia serikali imepanga kuwapatia dhana za kilimo hicho ili kusaidia kuongeza uzalishaji wa zao hilo na kufikia lengo lililowekwa la tani 15,000.

“ Sasa hiviuzalishaji wa mwani hauzidi tani elfu 4 kwa mwaka kwa Tanzania bara……..Zanzibar wanaenda mpaka tani elfu 11, mwaka uliopita walizalisha tani elfu 12……...Mwaka huu tumepanga kuzalisha tani 15,000 kwa kuanza lakini kitu ambacho walikuwa wanakwama ni uhaba wa pembejeo………mwaka huu tumejipanga kuwapelekea kamba, lakini pia tumepanga kuwapelekea taitai……….Tani elfu 15 kwa wakulima elfu 11, kwa tafiti zilizofanyika kwa kanda ya pwani kila mkulima akipata Kamba 200 za urefu mita 15, mita 20 anaweza kuvuna tani 1 mpaka tani 5 kwa mvuno mmoja na anavuta kila baada ya siku 45.” Amesema Dkt. Nikuli.

Aidha, Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania kanda ya kusini Ndg. Nassor Omary ameitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuimarisha mikakati ya masoko ya mwani hasa kutengeneza mfumo wa masoko ya mitandaoni ambao utarahisisha utangazaji wa mwanina bidhaa zake kwenye masoko ya ndani nan je ya nchi.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.