• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Wakulima wa korosho wahakikishiwa malipo yao

Posted on: November 22nd, 2018

Wakulima wa korosho wahakikishiwa malipo yao

Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justine amewahakikishiwa wakulima wa korosho kuwa watalipwa fedha zao.

Kauli hiyo ameitoa mkoani Lindi alipomtembele Mkuu wa Mkoa kwa lengo la kumueleza hatua ya malipo iliyofikiwa ambapo tayari TADB imeshalipa shilingi 3,184,179,98 kwa wakulima 3,592 wa mkoa wa Lindi ambao tayari wameshafanyiwa uhakiki.

“Niwahahakikishi wakulima wote wa korosho kuwa fedha zipo za kutosha na watalipwa fedha zao kama maelekezo ya Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyoyatoa ya kumlipa mkulima shilingi 3,300 kwa kilo”, alisema Justine.  

Justine alisema kuwa kabla ya malipo kufanyika ni lazima uhakiki ufanyike ili kujiridhisha kama kweli fedha zinazolipwa zinakwenda kwa mkulima wa korosho na si vinginevyo. Aidha, katika zoezi la uhakiki wamekutana na tatizo la utunzaji wa takwimu za wakulima katika baadhi ya vyama vikuu vya ushirika na vyama vya ushirika vya msingi (AMCOS) ambazo zinaonyesha taarifa za wakulima pamoja na taarifa zao za uzalishaji.

Pia amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Lindi kwa maamuzi yaliyochukuliwa ya kuandaa fomu ambayo aitakuwa ni rahisi kwa vyama vikuu na AMCOS kujaza, itakayoonyesha taarifa zote muhimu za mkulima ambazo zitarahisisha kufanya zoezi la uhakiki pale utakapohitajika na kurahisisha malipo yaweze kufanyika kwa haraka zaidi.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey W. Zambi amesema baada ya kuona zoezi la uhakiki linakwenda taratibu, ameunda timu shirikishi za uhakiki katika mkoa na wilaya ambazo zitashirikiana na TADB na bodi ya mazao mchanganyiko ili uhakiki uweze kufanyika kwa haraka sambamba na malipo ya wakulima.

Aidha, amewasihi wakulima kutoa ushirikiano kwa timu za uhakiki pale zitakapo pita kuahakiki, kwani lengo ni kujiridhisha kama anayelipwa ni mkulima sahihi na si vyinginevyo. Vilevile amewasihi wakulima kuwa watulivu kwa kuwa fedha za kuwalipa zipo na watalipwa.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.