• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WALIOSHINDWA KUTATUA CHANGAMOTO YA SOMANGA KWA WAKATI KUCHUKULIWA HATUA . WAZIRI ULEGA

Posted on: April 7th, 2025

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesisitiza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wataalam kutoka Wakala wa Barabara (TANROADS)

waliouhusika na uzembe wa kushindwa kurejesha kwa wakati mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam - Lindi eneo la Somanga Mtama Mkoani Lindi

Ulega ameeleza hayo Mkoani Lindi wakati alipofika na kukagua kazi za urejeshaji wa mawasiliano hayo yaliyokatika tarehe 06 Aprili, 2025 na kutoridhishwa na kasi ya urejeshaji wa mawasiliano hayo na kuelekeza wataalam kutoka kwa TANROADS kutoondoka eneo hilo hadi mawasiliano hayo yatakaporejea.

“Nimekagua na nimeona namna kazi inavyoendelea, mimi kama Kiongozi nimeona kuna jambo ambalo bado halijafanyika kisawasawa, uko uzembe uliofanyika, nitachukua hatua kali ili siku zingine yatakapotea mambo ya dharura kama haya yachukuliwe kidharura”, amesema Ulega.

Ulega ametoa salamu za pole kwa wananchi wa Mikoa ya Kusini na Dar es Salaam waliokumbwa na kadhia hiyo na kuwahakikishia kuwa timu ya wataalam iliyopo itafanya kazi haraka iwezekanavyo ili kuruhusu wananchi waliokwama kuendelea na safari zao.

Halidhalika, ameipongeza timu ya wataalam ya TANROADS Mkoa wa Lindi kwa kuchukua jitihada za dharura mara baada ya tukio hilo kutokea na kusisitiza kuongezwa kwa idadi ya malori ya mawe hadi kufika magari 100 ili yasaidie kwa haraka urejeshaji wa barabara katika eneo hilo.


Akizungumza na wananchi wa Somanga, Ulega ameeleza kuwa Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameidhinisha zaidi ya Shilingi Bilioni 130 kwa ajili ya ujenzi wa madaraja yaliyokatika katika Mkoa wa Lindi na kubainisha kuwa hatua za ujenzi wa madaraja matano zinaendelea na yapo katika hatua mbalimbali za utekelezaji.

Vilevile, Serikali itaanza utekelezaji wa ujenzi wa barabara kwa njia nne kuanzia Kongowe - Mbagala Rangi tatu ambapo tayari Mkandarasi ameshapatikana na pia ujenzi wa barabara kuanzia Kongowe hadi Mkuranga itajengwa kwa njia nne ili kupunguza msongamano wa magari uliopo sasa.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.