"Ni matumaini yangu kuwa wananchi wote wenye sifa za kupiga kura watajitokeza katika zoezi zima la uboreshaji wa daftari la wapiga kura pamoja na kushikiri katika zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wenye sifa watakaochochea maendeleo na kuchaguza katika sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji, kupata viongozi bora kunategemea ushiriki wetu sote katika uchaguzi" Mhe. Telack

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi
Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi
Simu: 023-220-2098
Rununu:
Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz
Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.