Posted on: March 4th, 2025
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mh. Zainab Telack amewataka Halmashauri ya Mtama kuhakikisha wanawasimamaia fedha za miradi ya ujenzi wa shule na miundombinu ya elimu.
Mhe. Telack ametoa wito huo mapema ...
Posted on: March 4th, 2025
Kongamano la wanawake kanda ya kusini litafanyika wilaya ya Nachingwea Mkoa wa Lindi .
Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika March 6, 2025 ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri...
Posted on: March 3rd, 2025
Kamati ya ushauri ya Mkoa wa Lindi (RCC) ikiongozwa na mwenyekiti wake Mhe. Zainab Telack ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi imeona changamoto kubwa ya watumishi wa umma katika sekta ya elimu na afya ina...