Mkuu wa mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi ameagiza kuchukuliwa hatua kwa baadhi ya kampuni zinazofanya biashara ya fedha kwa sababu ya kutofuata taratibu.
Mkuu wa mkoa wa Lindi ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Nachingwea kwa kutoa mafunzo kwa vikundi kazi vya wanawake na vijana kuhusu utengenezaji wa barabara.
Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.