Mkuu wa mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi amezuia uchimbaji wa dhahabu katika kijiji cha Mpiruka B wilayani Nachingweakutokana na taratibu zinazotakiwa kutofuatwa.
Meneja Mawasiliano wa Benki ya CRDB Tully Mwambapa amekabidhi msaada wa mbegu za mahindi kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi kwa ajili ya wananchi waliokubwa na mafuriko mkoani Lindi..
Prof. Sosovele ameeleza nia ya Kampuni ya Grumeti Reserve Ltd kutaka kuwekeza mkoani Lindi katika kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa tar. 28 Februari, 2020.
Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.