• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MILIONI 50 KUKAMILISHA UJENZI WA ZAHANATI YA MKUPA LINDI MANISPAA

Posted on: November 20th, 2024

Lindi.Serikali imetoa kiasi cha Sh.50milioni kwaajili ya kumalizia ujenzi wa zahanati ya Mkupama, kutokana na wananchi wa eneo hilo kutembea umbali mrefu zaidi ya km 15 kutafuta huduma ya afya katika kituo cha afya cha Ng'apa.


Baada ya kupata changamoto hiyo kwa muda mrefu wananchi hao waliamua kuanza ujenzi wa zahanati katika eneo la Mkupama, na serikali ikawaunga mkono kwa kuchangia Sh.50milioni ili kukamilisha ujenzi wa zahanati hiyo.


Akizungumza wakati wa kuweka jiwe la msingi la Zahanati hiyo ya Mkupama iliyopo Manispaa ya Lindi Mkoani Lindi , mkazi wa Mkupama Bahati Muhidini amesema kuwa walikuwa wanatembea umbali wa km 15 kufuata huduma ya afya katika Kituo cha afya cha Nga'pa .


Mwihidini ameishukuru Serikali kwa kuweza kuwaunga mkono katika umaliziaji wa Zahanati hiyo ,licha ya hayo wanaiomba Serikali kuongeza watumishi wa afya katika zahanati hiyo.


"Zahanati hii imekuja kupunguza adha ya kutembea umbali mrefu, lakini Zahanati hii inamuhudumu mmoja ambaye hawezi kutuhudumia wagonjwa wengi kwa wakati mmoja ,tunaiomba Serikali kuongeza wahudumu wengine ."Amesema Muhidini


"Sisi wananchi wa Mkupama tunaishukuru Serikali kwa kuweza kuunga mkono ujenzi wa Zahanati hii,tulikuwa tunateseka sana,unaumwa usiku huduma ya haraka hakuna  hadi kituo cha afya cha Ng'apa, ambapo tulikuwa tunatembea umbali mrefu napia Serikali itusaidie kuongeza watumishi kwani huyu mmoja hawezi kuhudumia wagonjwa wengi kwa pamoja.Amesema Moza Haji.


Magret Poma muhudumu wa afya katika Zahanati hiyo ameiomba Serikali kumuongezea watumishi wengine pamoja na nyumba ya kuishi kwani anatoka mbali na ilipo Zahanati hiyo.


"Mim nahudumia wagonjwa wa nje tu ,na kwasiku nahudumia wagonjwa zaidi ya kumi ,naiomba Serikali iweze kunisaidia kuniongezea wahudumu wengine,kwani wagonjwa wanapokuwa wengi nashindwa kuwahudumia kwa wakati,napia naomba Serikali iweze kunitafutia nyumba ya kuishi naishi mbali, ikitokea mgonjwa wa dharula usiku inakuwa ngumu kufika kwa wakati ."Amesema Poma.


Mkuu wa Idara ya afya,Ustawi wa jamii na lishe Dk. Stanford Mwakatage amesema kuwa Zahanati ya Mkupama imeanza kujengwa kwa nguvu za wananchi,ambapo wananchi walichangia kiasi cha Sh.4milio

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.