• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MIRADI YA WAHISANI ILETE TIJA KWA WANANCHI

Posted on: June 7th, 2025

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary ametoa wito kwa wadau wa Maendeleo na wataalam wa Kilimo  Lindi, kuhakikisha miradi yote ya maendeleo ya wahisani inakuwa endelevu kulingana na mpango na kuleta tija kwa jamii.


Ametoa wito huo Ofisini kwake Juni 6, 2025 alipokuwa anazungumza wakati wa kutambulisha shirika lisilo la kiserikali (SCAAP) linalofanya kazi na wakulima wadogo hususani wa mboga mboga ili kuondoa umasikini hasa maeneo ya kusini .



Bi. Zuwena Omary, akizungumza na wadau hao amesema, kumekuwa na miradi kadhaa ambayo inaanza vizuri lakini kabla haijafika mwisho inateteleka na tija iliyokusudiwa haionekani tena.


"Mtaalam ambaye eneo hilo ndiyo Mahusi hasa shirikiana na wadau kuhakikisha mradi unakwenda vizuri , hawa wahisani wanakuja kutokana na juhudi za serikali ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan , hivyo tunakazi kubwa ya kusimamia miradi na kuleta tija  kwa jamii"


Awali, akitambulisha mradi huo, Mkurugenzi wa Mradi Ndugu Adam K. Siwingwa amesema kuwa dhamira ya mradi huo kuwajengea uwezo wakulima wadogo kujihusisha na kunufaika na kilimo chenye tija , kuendeleza harakati zao za kuleta mabadiliko ya kisera na kusaidia vikundi taasisi zao kukua na ili kufikia haya shirika linazingatia uendelevu wa mazingira, usawa na uwajibikaji wa pamoja .

Kwa awamu ya kwanza, mradi huu unatarajiwa kutekelezwa katika Halmadhauri Nne ambazo ni Mtama, Lindi Manispaa , Ruangwa na kilwa ambapo wakulima vijana Elfu 20 wanaojishughulisha na bustani wanatarajiwa kufikuwa huku kila halmashauri ikiwa na vijana elfu 5. Aliongeza kusema Ndugu Adam  Siwingwa.


Kwa upande wake Katibu Tawala Msaidizi Ndugu Mkungu Mwinjuma amesema, wamepokea maelekezo na wanakwenda kuyafanyia kazi ili mradi huo, uweze kuwa bora na kuleta tija wakati wote wa utekelezaji .


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RC TELACK AONGOZA MBIO ZA RIDHAA RUANGWA AISISITIZA UMUHIMU WA MAZOEZI,LINDI MINING EXPO

    June 12, 2025
  • "TUJENGE TABIA YA KUFANYA MAZOEZI MARA KWA MARA ILI KUIMARISHA AFYA ZETU" RC TELACK

    June 12, 2025
  • MAONYESHO YA MADINI LINDI 2025 YAZINDULIWA RASMI NA MHE. KADUARA

    June 11, 2025
  • MAONESHO YA MADINI NI FURSA KWA WANANCHI WA LINDI NA TANZANIA KWA UJUMLA- RC TELACK

    June 11, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.