• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

VIJANA ELFU 20 KUNUFAIKA NA MRADI WA MIAKA MIWILI WA YEFFA

Posted on: June 10th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Victoria Mwanziva amezindua mpango wa uwezeshaji vijana katika kilimo cha bustani katika mikoa mbalimbali ya Tanzania hususani Mikoa ya kusini chini ya shirika lisilo la kiserikali SCAAP.

Shirika lisilo la kiserikali SCAAP liliosajiliwa chini ya Sheria ya NGO ya Mwaka 2002 lenye usajili namba OONGO/R2/00367 lenye maskani yake Mbeya Uyole linalofanya kazi na wakulima wadogo wa bustani .


Akizindua mpango huo Mhe. Victoria Mwanziva ametoa wito kwa shirika la SCAAP katika kufanikisha mradi wa YEFFA swala la ushirikishaji wa viongozi na wananchi mara kwa mara ni muhimu sana kwani ndiyo msingi wa mafanikio ya miradi kama hiyo.


"Tunawataalamu mbalimbali katika ngazi za halmashauri, tushirikiane kufanikisha malengo na kuona matokeo ambayo yanaonekana waziwazi lakini siri kubwa ni ushirikishaji katika kila hatua ya utekelezaji ili matokeo yaonekane " DC Mwanziva .


Awali akiwasilisha lengo la mradi huo, Mkurugenzi wa SCAAP Ndugu Amani K. Siwingwa amesema mradi wa YEFFA unalenga kuongeza ajira kwa kuangalia fursa zilizopo kwenye minyororo ya thamani ya mazao mbalimbaliya bustani na kuhamasisha elimu ya kilimo biashara kwa vijana .


Ameongeza kuwa mradi huo utatekelezwa katika halmashauri ya Mtama, Lindi Manispaa, Ruangwa na Kilwa huku akitaja walengwa wa mradi ni wakulima vijana wanaojihusisha na shughuli za bustani katika mnyororo mzima wa mazao ikiwa na walengwa elfu 20 ambapo 80% ni vijana , kila wilaya inakuwa na angalau vijana elfu 5.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RC TELACK AONGOZA MBIO ZA RIDHAA RUANGWA AISISITIZA UMUHIMU WA MAZOEZI,LINDI MINING EXPO

    June 12, 2025
  • "TUJENGE TABIA YA KUFANYA MAZOEZI MARA KWA MARA ILI KUIMARISHA AFYA ZETU" RC TELACK

    June 12, 2025
  • MAONYESHO YA MADINI LINDI 2025 YAZINDULIWA RASMI NA MHE. KADUARA

    June 11, 2025
  • MAONESHO YA MADINI NI FURSA KWA WANANCHI WA LINDI NA TANZANIA KWA UJUMLA- RC TELACK

    June 11, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.