• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

AFYA MOJA NA MPANGO WA UDHIBITI NA USAMBAZAJI MAGONJWA YA MLIPUKO

Posted on: August 28th, 2025


Akitambulisha Mpango wa Afya Moja Dkt Sirilli Kullaya DCOP akiambatana na Mololo Noah kutoka @Ciheb na Richard Charles pamoja na Sarah kapanda  kutoka PATH, mashirika yasiyo ya kiserikali  kwa kushirikiana na serikali ya Tanzania na wadau mbalimbali wa maendeleo na Afya  katika kusaidia uboreshaji, uimarishaji, uelimishaji na utatuzi wa changamoto mbalimbali zikiwemo za magonjwa ya mlipuko, amesema  kuwa Afya Moja ni dhana ya kimataifa iliyoridhishwa na Mashirika kama WHO, FAO, OIFE na UNEP yenye lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Sekta za Afya ya binafamu , Wanyama na mazingira ili kukabiliana na magonjwa ya kuambukiza yanayoenea kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu (Zoonotic diseases ).


Kikao hicho cha siku mbili kimefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi Agosti, 2025 kikiwakutanisha wataalamu mbalimbali kutoka Wizara ya Afya, Kilimo, Wakala wa Maji RUWASA, Wataalamu wa Afya kutoka Hospitali ya Sokoine na wataalamu kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa sehemu ya Uchumi na uzalishaji pamoja na wadau kutoka PATH na Ciheb .

Dkt. Sirilli kullaya ameeleza kuwa sambamba na hilo afya Moja; itakabiliana na usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa, usalama wa chakula, Changamoto za Afya zinazotokana na mabadiliko ya mazingira.


Aidha, Majukumu ya Afya Moja ,inajikita katika kuratibu shughuli za afya moja kuanzia ngazi ya taifa hadi vijiji, kuandaa mikakati na miongozo ya kukabiliana na milipuko ya magonjwa, kuunganisha wataalamu wa sekta mbalimbali - Madkatari, Wataalmu wa mifugo, Mazingira na kilimo .

Umuhimu wa afya moja unatokana na sababu ya utegemezi wa binadamu, wanyama na mazingira na hivyo tafiti zinaonesha 60% ya magonjwa ya binadamu yanatokana na maambukizi kutoka kwa wanyama, mabadiliko ya tabia ya nchi yanaweza kuchochea kuenea kwa magonjwa mapya  na matumizi ya kemikali kwenye mazingira yanavyoathiri afya za binadamu na wanayama.


Mraibu wa mpango ngazi ya Mkoa Bi. Hadija Bakari ameshukuru hatua ya awali wa mpango huo kwani afya moja ni njia ambayo itahakikisha usalama wa afya kwa binadamu, wanyama na mazingira kwa ushirikiano wa kutatua changamoto kwa pamoja.

Naye mwenyekiti wa kamati Ndugu Ramadhani Hatibu akihitimisha kikao hicho, amewasihii wajumbe kuzingatia yote yaliyojadiliwa katika kikao hicho ili kuweza kuleta matokeo chanya katika utekelezaji wake.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TAHADHARI YA MATAPELI WA MTANDANI

    September 03, 2025
  • MKOA WA LINDI WAJIPANGA KUFIKIA DIJITI MOJA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI NA WATOTO WACHANGA

    August 30, 2025
  • WANANCHI ZAIDI YA 2800 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI MTAMA- LINDI

    August 29, 2025
  • AFYA MOJA NA MPANGO WA UDHIBITI NA USAMBAZAJI MAGONJWA YA MLIPUKO

    August 28, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.