• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

BALOZI OMBENI SEFUE AWATAKA WANANCHI WA LINDI KUCHANGAMKIA FURSA ZA MRADI WA LNG

Posted on: August 30th, 2022

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa shirika la maendeleo ya petrol nchini TPDC Balozi Ombeni Sefue amewataka wananchi wa mkoa wa Lindi kuchangamkia fursa ambazo zitaambatana na mradi wa uchakataji wa gesi asilia  unaotarajiwa kujengwa katika eneo la Likong’o, Manispaa ya Lindi.

Akizungumza katika kikao kilichofanyika jumamosi ya tarehe 27 Agosti 2022 kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi Balozi. Ombeni Sefue amewataka wananchi wa Lindi kujiandaa na fursa nyingi zitakazozalishwa na mradi huo.

Balozi Sefue amesema kuwa haitakuwa vyema ikiwa fursa hizo zitachangamkiwa na watu kutoka nje ya Mkoa wa Lindi.

"Upande wa viongozi kuendelea kuwahamasisha wananchi kuanza kutambua fursa ambazo zinakuja na kujiandaa......ujenzi ukianza hapa, wakinunua kuku, wananunua kuku siku moja wote wanakwisha."

" Vijana wajue kwamba kunufaika ni lazima ujiandae na sio ujiandae tu ujiandae kwa viwango vya kimataifa." Amesema Balozi Sefue.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amesema wananchi wa Mkoa wa Lindi wako tayari kuupokea mradi huo na wanasubiri kuanza kwa  utekelezaji. “Sisi Lindi tuko tayari wakati wowote mradi utakapokuwa unaanza, eneo ambalo limetengwa kwa ajili ya shughuli hiyo halina malalamiko, halina madai na wananchi wetu wanachosubiri ni kuona utekelezaji".

Akitoa taarifa fupi, Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga amesema kuwa kuelekea katika utekelezaji wa mradi huo mkubwa, Kwa sasa zoezi la uunganishaji miundombinu ya huduma ya gesi majumbani linaloratibiwa na Shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania , TPDC liko kwenye hatua nzuri ambapo kwa awali zoezi hilo limeanza na nyumba zilizopo eneo la mnazi mmoja,manispaa ya lindi.

Katika kikao hicho, Balozi Ombeni Sefue aliambatana Wajumbe wa Bodi ya TPDC, Wakurugenzi na Watendaji wa Shirika hilo la Maendeleo ya Petrol kwa lengo kuu la kuitambulisha bodi hiyo tangu iteuliwe na Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 20 Mei 2022.

         

                      

                

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.