• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

BALOZI WA CHINA ATEMBELEA BANDARI YA UVUVI KILWA, AHAIDI USHIRIKIANO ZAIDI

Posted on: June 24th, 2025

Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian, amefanya ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Uvuvi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na China katika sekta ya uchumi wa buluu.

Ziara hiyo imefanyika tarehe 24 Juni 2025, ambapo Balozi Chen ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mhe. Mohamed Nyundo na kukagua hatua mbalimbali za ujenzi wa bandari hiyo maalum kwa ajili ya shughuli za uvuvi. Bandari hiyo ni sehemu ya juhudi za Serikali ya Tanzania kuimarisha miundombinu ya sekta ya uvuvi, kuinua kipato cha wavuvi wa ukanda wa pwani, na kuongeza mchango wa sekta hiyo kwenye pato la Taifa.


Akizungumza mara baada ya ukaguzi huo, Balozi Chen ameeleza kuridhishwa na maendeleo ya mradi na kuahidi kuwa Serikali ya China itaendelea kushirikiana na Tanzania katika kukuza sekta ya uvuvi na maendeleo ya kiuchumi kwa ujumla.


"Mradi huu una umuhimu mkubwa kwa wananchi wa Kilwa na kwa uchumi wa Tanzania kwa ujumla, China itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kuhakikisha kuwa miradi ya kimkakati kama hii inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa," amesema Balozi Chen.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mhe. Mohamed Nyundo, amemshukuru Balozi Chen kwa ujio wake na mchango wa Serikali ya China katika kusaidia miradi ya maendeleo nchini, pia amesisitiza kuwa bandari hiyo itakuwa chachu ya maendeleo kwa wananchi wa Kilwa kwa kutoa ajira, kuimarisha biashara ya samaki, na kuongeza mapato ya halmashauri.


"Tunashukuru ushirikiano wetu na Serikali ya China kupitia mradi huu wa bandari ya uvuvi. Utekelezaji wake utaleta mapinduzi makubwa katika maisha ya wananchi wetu, hasa wavuvi na wafanyabiashara wadogo," alisema Mhe. Nyundo.


Ziara hiyo pia imeambatana na mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya pande hizo mbili, ambapo ni masuala ya uwekezaji katika sekta ndogo ndogo, na elimu ya bahari kwa jamii za pwani yalipewa kipaumbele.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RC TELACK AONGOZA KIKAO CHA WADAU WA KOROSHO, ATOA PONGEZI KWA MAAFISA UGANI

    July 03, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA UBUNGE RUANGWA BAADA YA MIAKA 15 YA UONGOZI

    July 02, 2025
  • UJENZI WA CHUO KIKUU UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 65%, DKT. KIKWETE APONGEZA

    June 30, 2025
  • MHE. DKT. KIKWETEARIDHISHWA NA HATUA YA UJENZI TAWI LA UDSM LINDI

    June 30, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.