• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

BIL 19.2 KUJENGA STENDI YA KISASA, SOKO NA BARABARA KM5.3 LINDI MC

Posted on: July 29th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Victoria Mwanziva amekabidhi Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji (TACTIC) kwa mkandarasi HAMERKOP INTERNATIONAL LTD. JV KIKIM CONTRACTORS LTD, lro Julai 28, 2025 atakayetekeleza miradi mitatu katika manispaa lindi yenye thamani ya shilingi Bilioni 19.2.


Awali, Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi Ndugu Juma Mnwele @mnwele alitaja miradi mitatu ya uboreshaji wa Miji ni ujenzi wa Kituo kikuu cha mabasi eneo la Mitwero, Soko Kuu kata ya Matopeni na barabara za lami km 5.3 ikiwemo barabara ya Mpilipili yote ikifadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia TACTIC.


Ameongeza kwa kusema mradi huo utatekelezwa kwa miezi 15 na hauna malipo ya fidia katika maeneo yote ambayo utatekelezwa .


Mara baada ya kukabidhi mradi huo kwa mkandarasi  eneo la mradi wa Stendi Mitwero kata ya Rasibula Mgeni rasmi Mhe. Victoria Mwanziva amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan  kwa fedha nyingi za miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Lindi zikiwemo hizo za miradi mitatu kwa pamoja.


Aidha , Mhe. Victoria ametoa wito kwa mkandarasi wa mradi huo kuhakikisha anasimamia vema kulingana na utalaamu na matakwa ya mradi .


" Serikali itakuwa karibu na kutupia jicho mradi huu ili kuhakikisha maono na azma ya Mhe. Rais inaonekana ikifanyika na hivyo kamwe hatutavumilia aina yoyote ya ubabaishaji utakao sababisha kazi hii kusuasua. Tutachukua hatua mara moja " Mhe. Victoria Mwanziva DC Lindi.


Katika hatua nyingine, Mhe. Mwanziva amewataka TARURA (W) kusimamai mradi wa ujenzi wa Barabara kwa kiwango kinachokubalika.


" Naelekeza pia TARURA kusimamaia mradi wa barabara kwa viwango vinavyotakiwa "


Wananchi wa Manispaa ya Lindi, wametumia fursa hiyo kuishukuru serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan @samia_suluhu_hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa fedha za miradi hiyo ambayo itakuwa chachu ya maendeleo .


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI WA DKT. SAMIA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA BOBEZI KATIKA HOSPITALI 7 ZA WILAYA, MKOANI LINDI.

    September 15, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA BINGWA BOBEZI AWAMU YA NNE YAANZA KAZI MKOANI LINDI

    September 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA MAMA SAMIA WAPOKELEWA LINDI.

    September 15, 2025
  • RAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA KUPITIA NA KUJADILI AFUA ZA LISHE APRIL- JUNI 2025.

    September 13, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.