• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

BILIONI 1.6 KUJENGA NA KUKARABATI MIUNDOMBINU YA NYUMBA

Posted on: October 1st, 2025

BILIONI 1.6 KUJENGA NA KUKARABATI MIUNDOMBINU YA NYUMBA .

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi imepokea fedha zaidi ya Bilioni 1.6 kutoka Serikali kuu kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu mbalimbali chini ya ofisi hiyo.

Hayo yameelezwa na katibu Tawala Msaidizi Mipango na Uratibu Ndugu Juhudi Mgallah akimwakilisha katibu

Tawala Mkoa wa Lindi katika ziara ya wakuu wa idara na vitengo ( Menejiment ) ya ukaguzi waujenzi na ukarabati

wa miundombinu hiyo .

Ndugu Mgallah, amesema miundombinu hiyo ni ujenzi wa fensi nyumba ya Mkuu wa Mkoa wenye thamani ya Milioni 520, ukarabati wa nyumba ya katibu Tawala wilaya ya Ruangwa na Liwale wenye thamani ya Milioni 213, ukarabati na ujenzi wa fensi nyumba ya wakuu wa sehemu (Idara) kwa thamani ya Milioni 758 na ununuzi wa mfumo wa viyoyozi kwa ajili ya ukumbi mkubwa wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wenye kwa thamani ya Milioni 118.

Aidha, viongozi hao wamekagua miradi hiyo na kutoa ushauri namna bora ya kutekeleza kwa kasi na viwango vinavyohitajika.



Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • BILIONI 1.6 KUJENGA NA KUKARABATI MIUNDOMBINU YA NYUMBA

    October 01, 2025
  • KHERI YA SIKU YA WAZEE DUNIANI

    October 01, 2025
  • SHULE HII IMEOKOA IDADI KUBWA YA WATOTO/WANAFUNZI.

    September 30, 2025
  • MUONEKANO WA JENGO LA OFISI ZA HALMASHAURI YA MTAMA MKOA WA LINDI.

    September 30, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.