• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Government Communication
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

BODI YA KOROSHO TANZANIA YAWAPIGA MSASA MAAFISA BIASHARA MKOA WA LINDI.

Posted on: November 26th, 2025

BODI YA KOROSHO TANZANIA YAWAPIGA MSASA MAAFISA BIASHARA MKOA WA LINDI.


Mkurugenzi wa Masoko na Udhibiti Ubora kutoka Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), Ndugu Revelian Ngaiza, leo ametoa mwongozo sahihi kuhusu masoko ya awali ya korosho sambamba na kuwakumbusha maafisa biashara kuhusu majukumu yao na umuhimu wa uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku.


Leo Novemba 26, 2025, ikiwa ni siku ya pili ya mwendelezo wa kikao kazi cha Maafisa Biashara wa Mkoa wa Lindi, wataalam mbalimbali wameendelea kutoa elimu na kufanya uchambuzi wa kina kwa maafisa hao. 


Wamehimiza kuzingatia misingi ya utumishi wa umma, uwazi, uadilifu na weledi katika kusimamia shughuli za maendeleo ya biashara na masoko.


Aidha, kikao hicho kimejadili changamoto zinazokabili sekta ya kilimo pamoja na mafanikio yaliyopatikana, huku kikielekeza nguvu zaidi katika mazao muhimu na fursa zinazochangia ukuaji wa uchumi wa Mkoa wa Lindi.




Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI, TAASISI ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI ZATAKIWA KUIMARISHA HUDUMA KWA WAJASIRIAMALI MKOANI LINDI

    November 27, 2025
  • UJENZI WA MADARAJA NA BARABARA KUSINI WAFIKIA 88%

    November 27, 2025
  • DKT. SHEKALAGHE AAGIZA HUDUMA KUANZA KUTOLEWA HOSPITALI MPYA YA RUFAA LINDI SOKOINE IFIKAPO JANUARI 1, 2026

    November 26, 2025
  • BODI YA KOROSHO TANZANIA YAWAPIGA MSASA MAAFISA BIASHARA MKOA WA LINDI.

    November 26, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.