• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

BODI YA KOROSHO TOENI ELIMU YA UBEBESHAJI WA MIKOROSHO KWA WAKULIMA

Posted on: May 29th, 2023

Maelekezo hayo yametolewa jana jumapili na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack katika kikao cha wadau cha tathmini ya msimu wa korosho Kwa mwaka 2022/23 na maandalizi ya msimu wa ufuta 2023/24 kilichofanyika Wilaya ya Nachingwea, ukumbi wa Chuo cha Ualimu.

Mhe. Telack amewaeleza wajumbe wa kikao hicho kuwa miti ya mikorosho iliyopo mashambani kwa kiasi kikubwa haina tija hivyo ni vyema ikafanyiwa maboresho kwa kuibebesha.

Mhe. Telack ameongeza kuwa ili kufikia malengo ya kuongeza uzalishaji na kipato kwa mkulima, Bodi ya Korosho ni wakati sasa wa kutoka na kwenda kwa wakulima kutoa elimu ya faida ya kubebesha miti ya Korosho ili iweze kuwanufaisha.

Akitoa ushuhuda wa faida ya ubebeshaji wa mikorosho, Mhe. Shaibu Ndemanga, Mkuu wa Wilaya ya Lindi amesema kuwa ubebeshaji wa mikorosho ukifanyika Kwa wakati kuanzia mwezi Novemba mpaka Desemba matokeo yake yanaanza kuonekana mapema mwanzoni mwa mwaka unayofuata.

Mhe. Ndemanga ameendelea kueleza kuwa mmea uliobebeshwa unazaa mapema na Kwa uwingi Sana kiasi ambacho mmea unaweza kushindwa kuhimili uzito wa mazao hayo, hivyo ni lazima mkulima ahakikishe anaufuatilia na kuuwekea vizuizi ili usivunjike.

Pia amewataka Bodi ya Korosho Tanzania, kuwatafuta na kuwatambua Vijana wote wenye elimu ya ubebeshaji wa mikorosho ili waisambaze elimu hiyo kwa wakulima. Mhe. Ndemanga ameongeza kuwa vijana hao wapo maeneo mengi ya kanda ya Kusini lakini hawafahamiki.

Akimuwakilisha Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho kwenye kikao hicho, Ndg.Juma Yusuph Mpili Kaimu Meneja wa Mipango ya Kilimo, amesema kuwa zoezi la ubebeshaji wa mikorosho litaanza punde tu uvunaji wa korosho utakapokamilika kuanzia mwezi Desemba.

Ndg. Mpili ameongeza kuwa sambamba na ubebeshaji wa mikorosho, zoezi la uzalishaji wa miche ya korosho Kwa ajili ya kusambaza kwa wakulima litaanza msimu ujao wa mwaka 2023/24. Ameongeza kuwa kwa sasa Bodi ya Korosho inaandaa vifaa kwa ajili ya utekelezaji wa zoezi hilo.
























Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.