• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

CHANJO YA MIFUGO NA UTAMBUZI WA MIFUGO WAZINDULIWA RASMI LINDI

Posted on: July 5th, 2025

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Agnes Meena amekabidhi na kuzindua Chanjo na vifaa vya utambuzi wa Mifugo  Mkoa wa Lindi. 

Akikabidhi na kuzindua Chanjo hizo Bi. Meena, amewataka wafugaji Mkoani Lindi kushiriki zoezi la chanjo ya mifugo ili kuimarisha ubora na thamani ya mazao ya mifugo katika soko na kuongeza uchumi wa wafugaji na nchi. 

Bi. Meena, ametoa wito huo Julai 4, 2025 alipokuwa anazindua na kukabidhi rasmi  chanjo na utambuzi wa mifugo kimkoa lililofanyika wilaya ya Kilwa na Lindi. Ambapo  kwa wilaya ya kilwa jumla ya Mifugo Laki Tano Hamsini Nane Elfu na Mia Tisa Hamsini inatarajiwa kuchanjwa  kati ya mifugo hiyo Ng'ombe 117,086 na kuku 2299,129 na Manispaa ya Lindi jumla ya mifugo Laki Moja Arobaini Tano elfu  Mia Tano Kumi na Mbili. 

Amesema changamoto kubwa inayosababisha wafugaji kupunguza thamani ya Soko la mazao ya Wanyama kimataifa ni pamoja na uwepo wa magonjwa yanayoathiri ubora wa nyama. 

Bi. Meena, ameongeza kuwa, faida ya chanjo hizo ni pamoja na kusaidia kudhibiti magonjwa ya mlipuko kwa watu na wanyama, kuongeza uzalishaji wa mifugo, na kuongeza mapato ya Serikali kupitia Sekta hiyo. 

Aidha, katibu Mkuu, ametoa wito kwa wafugaji kuendelea kuhamasishana kujitokeza kwa wingi ili kuchanja mifugo yao kwani kufanya hivyo kutachangia kwa kiasi kikubwa kutokomeza magonjwa ya mifugo katika mkoa na nchi kwa ujumla. 

Kupitia zoezi hilo Serikali itachangia Shilingi 500 na mfugaji Shilingi 500 kwa ajili ya chanjo ya ng'ombe, Shilingi 300 kwa chanjo ya Kondoo na Mbuzi huku chanjo hiyo ikitolewa bure kwa wafugaji wa kuku. 

Kwa upande wa wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva ambaye Mkuu wa Wilaya hiyo, amemshukuru Dkt. Samia Suluhu Hasssn Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chanjo hizo za ruzuku.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • TPDC KUANZA UTAFITI WA KUTAMBUA UWEPO WA UKUBWA WA AKIBA YA MAFUTA NA GESI CHINI YA ARDHI LINDI

    July 15, 2025
  • MKOA WA LINDI WAFAULISHA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA KWA 100%, RAS APONGEZA

    July 11, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA SEKTA YA ELIMU NUSU MUHULA CHAFANYIKA LINDI

    July 11, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA NGO's LINDI

    July 10, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.