• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

CRDB KANDA YA KUSINI YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA MKOA WA LINDI, MAANDALIZI YA UMISETA.

Posted on: June 4th, 2025

Katika kuunga Mkono mpango na juhudi za serikali za kuibua vipaji na kukuza sekta ya Michezo nchini, Benki ya CRDB Kanda ya Kusini imetoa msaada wa Sare za Michezo  kwa timu ya UMISSETA ya Mkoa wa Lindi kwaajili ya Maandalizi ya Mashindano ya UMISSETA Taifa yanayotarajiwa kuanza mapema mwezi Julai Mkoani Iringa.


Akipokea Jozi hizo kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Katibu Tawala Msaidizi eneo la utawala na raslimali watu Mkoa Ndugu Nathalis Linuma ameishukuru  Benki ya CRDB kwa msaada huo na kuahidi kuwa timu hiyo itafanya vizuri katika Mashindano hayo na kurudi na ushindi.


"Nitumie fursa hii kuishukuru Benki ya CRDB kwaniaba ya katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary kwa msaada wa jozi hizo ambazo imeipa timu hamasa ya kufanya vizuri na tuahidi, tunakwenda kufanya vizuri na kurudi na ushindi " Ndugu Nathalis Linuma.


Kwa upande wake kaimu Meneja wa CRDB Kanda ya Kusini  Ndugu,  Alpha J. Mhagama ambaye Meneja Mahusiano Kitengo cha Serikali  CRDB kanda ya Kusini akiambatana na Meneja wa CRDB Lindi na maafisa wa Benki hiyo, amesema vifaa hivyo ambavyo vimekabidhiwa, nisehemu ya utaratibu wa Banki hiyo ya kusaidia matukio ama maswala mbalimbali ya kijamii ikiwemo michezo,  lengo kuongeza chachu ya maandalizi ya timu hiyo ya UMISSETA Mkoa wa Lindi kufanya vizuri na kuchukua ushindi.


" Hatuendi kushiriki bali tunakwenda kushindana, kyshinda na kurudi na ushindi, nitarydi tena hapa kutoa zawadi kwa wale watakaorudi na ushindi " Amesema ndugu Mhagama.

Naye Afisa Elimu Mkoa wa Lindi Mwalimu Josephy Mabeyo amewasisitiza wanafunzi na walimu wa timu hiyo ya Mkoa kwenda kudumisha nidhamu wakati wote wa mashindano na nje ya mashindano .


"Nawasihii sana wanafunzi, mkawe na nidhamu wakati wote , nidhamu, nidhamu nidhamu muhimu sana katika kila jambo  Waalimu wenu naamini watawasimamia vizuri sana " Mwalimu Kayombo -Elimu Mkoa.


Michezo ya UMISSETA kitaifa yanatarajiwa kufanyika kuanzia Juni 7, 2025 Mkoani Iringa ambapo timu za Mikoa mbalimbali zitakutana kwa mashindano hayo.


Makabidhiano ya vifaa hivyo yamefanyija Juni 4, 2025 katika viwanja vya Shule ya Sekondari Lindi.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RC TELACK AONGOZA MBIO ZA RIDHAA RUANGWA AISISITIZA UMUHIMU WA MAZOEZI,LINDI MINING EXPO

    June 12, 2025
  • "TUJENGE TABIA YA KUFANYA MAZOEZI MARA KWA MARA ILI KUIMARISHA AFYA ZETU" RC TELACK

    June 12, 2025
  • MAONYESHO YA MADINI LINDI 2025 YAZINDULIWA RASMI NA MHE. KADUARA

    June 11, 2025
  • MAONESHO YA MADINI NI FURSA KWA WANANCHI WA LINDI NA TANZANIA KWA UJUMLA- RC TELACK

    June 11, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.