• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

EWURA YATOA ELIMU KWA WANANCHI MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI, WAHIMIZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI.

Posted on: August 3rd, 2025

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu majukumu yake katika kusimamia sekta za nishati na maji mijini, kupitia ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini yanayofanyika katika Viwanja vya Ngongo, Manispaa ya Lindi.


Katika maonesho hayo, EWURA ilieleza kuwa ina jukumu la kutoa na kusimamia leseni kwa watoa huduma, kuidhinisha bei za bidhaa kama vile petroli, umeme na gesi asilia, pamoja na kushughulikia migogoro kati ya watoa huduma na wateja kwa njia ya kisheria.

Akizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Abdallah Mussa Mwaipaya, Meneja wa Kanda ya Mashariki wa EWURA, Bwana. Nyiragu Musira, alieleza kuwa moja ya majukumu ya EWURA ni kutatua malalamiko yanayohusu huduma za nishati na maji. Alibainisha kuwa migogoro hiyo hutatuliwa kwa hatua mbili, awali kwa njia ya mazungumzo kupitia maofisa wa huduma kwa wateja, na ikiwa haitapatiwa suluhisho, hupelekwa kwa wanasheria wa EWURA ambapo huchukuliwa kama kesi za mahakamani. Aidha, wateja au watoa huduma wana haki ya kukata rufaa endapo hawaridhishwi na maamuzi ya awali.


Ndugu. Musira ameendelea kueleza kuwa EWURA inaendelea na  dhamira yake ya kuhimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa serikali wa kuhakikisha jamii inajiepusha na matumizi ya nishati chafu kama mkaa na kuni ambapo kwa mujibu wa takwimu za EWURA matumizi ya nishati safi nchini yameongezeka hadi kufikia zaidi ya asilimia 30 katika mwaka wa fedha 2023/2024, kutokana na juhudi za serikali na wadau mbalimbali katika kutangaza matumizi hayo.


Aidha, Wananchi wamehimizwa kufika kwenye banda la EWURA kupata elimu zaidi kuhusu haki zao, taratibu za kupata huduma, na namna ya kushughulikia malalamiko dhidi ya watoa huduma. Pia, wadau wa sekta za nishati na maji wametakiwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa na mamlaka hiyo katika kuwahudumia wateja wao.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI WA DKT. SAMIA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA BOBEZI KATIKA HOSPITALI 7 ZA WILAYA, MKOANI LINDI.

    September 15, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA BINGWA BOBEZI AWAMU YA NNE YAANZA KAZI MKOANI LINDI

    September 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA MAMA SAMIA WAPOKELEWA LINDI.

    September 15, 2025
  • RAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA KUPITIA NA KUJADILI AFUA ZA LISHE APRIL- JUNI 2025.

    September 13, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.