• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

FORLAND YATAMBULISHA MRADI WA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU NA ARDHI.

Posted on: July 22nd, 2025

FORLAND YATAMBULISHA MRADI WA USIMAMIZI ENDELEVU WA MISITU NA ARDHI.


Timu ya FORLAND ikiongozwa na Ndugu.  Michael Hawkes ambaye ni mshauri Mkuu wa mradi imetembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi na kukutana na Timu ya wataalamu Mkoa ikiongozwa na Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na uzalishaji Ndugu.Mwinjuma Mkungu,  kwa ajili ya kuutambulisha rasmi mradi wa usimamizi endelevu wa misitu na ardhi.


Utambulisho wa mradi huo umefanyika katika ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi Julai 21, 2025.


Akiutambulisha mradi huo Ndugu. Michael Hawkes amesema ,mradi unalenga kuimarisha maisha ya wananchi kupitia matumizi bora ya ardhi na rasilimali za misitu kwa njia shirikishi.


Aidha, kwa upande wake Katibu Tawala Msaidizi Ndugu. Mwinjuma Mkungu, mara baada ya mjadala wa kuutambulusha mradi ameipongeza timu ya  FORLAND  kwa dhamira yao ya kutekeleza mradi wenye lengo la kusisitiza matumizi bora ya ardhi na rasilimali za misitu ambayo itaimarisha maisha ya wananchi na hivyo viongozi wa Mkoa wa Lindi umeahidi kushirikiana kikamilifu ili kufanikisha utekelezaji wa mradi huo .

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TAHADHARI YA MATAPELI WA MTANDANI

    September 03, 2025
  • MKOA WA LINDI WAJIPANGA KUFIKIA DIJITI MOJA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI NA WATOTO WACHANGA

    August 30, 2025
  • WANANCHI ZAIDI YA 2800 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI MTAMA- LINDI

    August 29, 2025
  • AFYA MOJA NA MPANGO WA UDHIBITI NA USAMBAZAJI MAGONJWA YA MLIPUKO

    August 28, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.