• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

ITUO CHA AFYA PANGABOI KUONGEZA KASI YA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA NACHUNYU

Posted on: May 27th, 2025

Mwenge wa Uhuru 2025 umeridhia kuweka jiwe la Msingi kituo cha Afya Pangaboi kilichopo kata ya Nachunyu.

Akizungumza mara baada ya kukagua ujenzi wa kituo hicho Comred Ismail Ali Ussi ameridhia kuweka jiwe la msingi mradi huo ambao umezingatia vigezo na thamani ya fedha .


Komred Ismail Alli Ussi ametumia fursa hiyo kuwasihii wananchi kulinda miundombinu ya kituo hicho ambacho kinatoa huduma muhimu zikiwemo upasuaji huku akiwataka kuzingatia kanuni za Afya na kuepuka vitendo vya rushwa.


Amewataka kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi Mkuu wa 2025 ili kuchagua viongozi bora . Mradi huu umegharimu kiasi cha Tsh Milioni 500 fedha kutoka Serikali kuu.

Kituo cha Afya Pangaboi kinatajwa kuongeza kasi ya utoaji wa huduma ya afya kwa wakazi wa Nachunyu na viunga vyake kwani kimeondoa kero ya wananchi kutembea umbali mrefu kupata huduma hiyo kwa wakati .


Awali, Mkuu wa wilaya ya Lindi Mhe. Victoria Mwanziva amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wananchi wa Halmashauri ya Mtama kwa mradi huo muhimu .

Mkoa wa Lindi, Mwenge wa uhuru 2025 umeanza mbio zake katika Halmashauri ya Mtama Mei 26, 2025 . Mei 27, 2025 unatarajiwa kuwasili Lindj Manispaa.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • ITUO CHA AFYA PANGABOI KUONGEZA KASI YA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA NACHUNYU

    May 27, 2025
  • MWENGE WA UHURU KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA BIL 2.7

    May 26, 2025
  • MIRADI 59 YA BILIONII 22.4 KUTEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2025 MKOA WA LINDII

    May 26, 2025
  • MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU MKOA WA LINDI

    May 25, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.