• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KAMATI YA BUNGE YASISITIZA UJENZI WA MRADI WA BANDARI YA UVUVI UMALIZIKE KWA WAKATI

Posted on: March 19th, 2023

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Uwekezaji imeielekeza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuongeza Kasi ya ujenzi wa mradi wa bandari ya Uvuvi inayojengwa Wilayani Kilwa, Mkoa wa Lindi.

Kamati hiyo ya Bunge ikiongozwa na Menyekiti Mhe. David Kihenzile , Mbunge wa jimbo la Mufindi Kusini imetoa maelekezo hayo  alhamisi ya wiki hii baada ya kufanya ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya mradi huo mkubwa.

Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ukaguzi wa mradi, Mhe. Kihenzile amesema kuwa Serikali imetoa fedha jumla ya Bilioni 282 kwa ajili ya ujenzi wa bandari ya Uvuvi ili kuongeza Kasi ya uvunaji wa mazao ya bahari na kusaidia ukuaji wa uchumi. Ameongeza kuwa Serikali imeamua kufanya kazi Sekta zilizoajili watu wengi zaidi ikiwemo kilimo, mifugo na Uvuvi. Hivyo ameitaka Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuongeza Kasi ya ujenzi wa mradi ili wananchi wanufaike na utekelezaji wa mradi huo.

Kwa upande wake, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesisitiza kuwa Wizara itazingatia maelekezo yote yaliyotolewa na Kamati ya Bunge bila kuadhiri Sera, Sheria, Kanuni na taratibu za Serikali.

Mhe. Ulega amesisitiza pia kwa kazi zisizohitaji utaalam mkubwa, vijana wa Wilaya ya Kilwa wapewe nafasi ili ya kuzifanya ili kuongeza uchumi wao na maeneo yanayozunguka mradi.

Mradi wa Bandari ya Uvuvi inayojengwa Wilayani Kilwa itagharimu kiasi cha Sh. Bilioni 282 ambapo mpaka sasa utekelezaji wa mradi huo umefikia asilimia 7.5.

Bandari hii itakapokamilika itakuwa na uwezo wa kuingiza meli 3 hadi 10 kwa wakati mmoja kulingana na ukubwa wa meli. Pia itakuwa na uwezo wa kuhudumia boti za wavuvi 300 kwa wakati.

Mradi huu unaotekelezwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Kampuni ya Kichina M/s China Harbour Engineering Company Ltd unatarajiwa kukamilika tarehe 24 Septemba 2024.

 















Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.