• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mkoa wa lindi

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa Mkoa wa lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI RUANGWA

Posted on: February 10th, 2026

Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Lindi, ikiambatana na wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, imefanya ziara rasmi ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Ruangwa, ikiwa ni sehemu ya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Ziara hiyo imefanyika leo, Februari 10, 2026, ikiongozwa na Katibu wa CCM Mkoa wa Lindi, Ndg. Barnabas Y. Essau, akishirikiana na muwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Ndg. Juhudi Mgallah, Katibu Tawala Seksheni ya Mipango na Uratibu.


Katika ziara hiyo, kamati imekagua mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Chinongwe na kuridhishwa na hatua ya utekelezaji iliyofikiwa.


Kamati imesisitiza umuhimu wa usimamizi madhubuti wa mradi huo ili kuhakikisha unakamilika kwa wakati, kwa kuzingatia viwango vya kitaalamu na kuanza kutoa huduma stahiki kwa wananchi.


Aidha, kamati imetembelea mradi wa ujenzi wa Shule Mpya ya Awali na Msingi Kitandi, ambapo imepatiwa taarifa ya maendeleo ya ujenzi pamoja na maandalizi ya miundombinu ya kufundishia na kujifunzia. Kamati imepongeza hatua zilizofikiwa na kusisitiza kuongeza kasi ya utekelezaji ili mradi ukamilike kwa wakati uliopangwa.


Vilevile, kamati imekagua mradi wa ujenzi wa barabara za ( Mipingo na Lichonyo) na kupongeza juhudi za Serikali katika kuboresha miundombinu ya usafiri na usafirishaji, hatua inayochochea ukuaji wa shughuli za kiuchumi na kijamii. Miradi hiyo yenye thamani zaidi ya Shilingi bilioni 1.


Akizungumza katika kikao cha majumuisho ya ziara hiyo, Ndg. Essau amesema, “Tunawapongeza watendaji wa Halmashauri kwa kazi kubwa iliyofanyika katika utekelezaji wa miradi hii. Ni muhimu kuongeza kasi ya utekelezaji katika maeneo yaliyobaki, kuzingatia ubora wa miradi, na kuhakikisha usimamizi thabiti wa rasilimali ili huduma zilizokusudiwa ziwafikie wananchi kwa ufanisi.” amesema Essau.


Ziara hiyo ni sehemu ya utaratibu endelevu wa ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo unaolenga kuimarisha uwajibikaji, kuongeza ufanisi wa utekelezaji, na kuhakikisha miradi inaleta matokeo chanya kwa wananchi wa Wilaya ya Ruangwa.




Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI RUANGWA

    February 10, 2026
  • KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA LINDI YAKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA MTAMA

    February 10, 2026
  • RC LINDI : KAMBI MAALUM YA UPASUAJI WA MABUSHA KUANZA KUTOLEWA BURE FEBRUARI 9 HADI 25, 2026 HOSPITALI YA RUFAA SOKOINE

    February 06, 2026
  • TANGAZO: FOMU YA MAOMBI YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI

    February 02, 2026
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.