• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA BINGWA BOBEZI AWAMU YA NNE YAANZA KAZI MKOANI LINDI

Posted on: September 15th, 2025

Mkoa wa Lindi umepokea timu za madaktari bingwa na bingwa bobezi 49 kutoka hospitali mbalimbali za Rufaa ambao wanatarajiwa kutoa huduma za kibingwa na bobezi katika hospitali 7 za Halmashauri za Mkoa wa Lindi kwa muda wa siku tano kuanzia leo Septemba 15 hadi Septemba 19, 2025.


Ujio huu ukiwa ni wa awamu ya nne ya utekelezaji wa azma ya serikali ya kusogeza huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi pamoja na kutambua wahitaji wa huduma za afya ili kuwapatia rufaa kwa matibabu zaidi, umekua na manufaa zaidi kwani umewezesha mashirikiano baina ya madaktari bingwa na watoa huduma katika vituo vya kutolea huduma za afya kwakuwa ni darasa la  kubadilishana  uzoefu na kujenga uwezo wa kiutendaji.


Akizungumzia mafanikio ya Awamu iliyopita, Bwana. Ephraim Kafilimbi, Mratibu wa Huduma za Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi Mkoa wa Lindi amesema kuwa wagonjwa wapatao 230524 waliweza kuhudumiwa pamoja nao wagonjwa 16000 walipata huduma za upasuaji. Vilevile, wahudumu wa afya 15000 katika vituo vya kutolea huduma za afya waliweza kupatiwa mafunzo ya kujiendeleza ili kuhakikisha huduma zinaendelea kutolewa katika maeneo yao hivyo kutoa rai kwa wananchi kujitokeza kwa wingi ili waweze kupatiwa huduma kulingana na mahitaji yao.


"Katika Mkoa wa Lindi huduma hizi zinaanza kutolewa kuanzia leo hadi tarehe 19, tutakua tumekamilisha siku tano, kwa madaktari wetu hii ni sehemu endelevu ya kuifanya kazi hii na tuifanye kwa uaminifu ili wananchi wajue kuna wataalamu mabingwa na bobezi wanaoweza kuifanya kazi kwa ubora na wananchi waweze kunufaika na huduma tunazotoa" ameeleza.


Jumla ya Halmashauri 184 za Tanzania Bara zinatarajiwa kufikiwa na Huduma za Madaktari Bingwa na Bingwa bobezi katika awamu hii ya nne ambapo huduma mbalimbali za kibingwa na bobezi zitatolewa katika maeneo ya Magonjwa ya Ndani, Huduma za Ganzi na Usingizi, Magonjwa ya wanawake, Huduma za Uzazi na watoto wachanga, Huduma za Kinywa na Meno pamoja na Huduma za Upasuaji.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI WA DKT. SAMIA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA BOBEZI KATIKA HOSPITALI 7 ZA WILAYA, MKOANI LINDI.

    September 15, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA BINGWA BOBEZI AWAMU YA NNE YAANZA KAZI MKOANI LINDI

    September 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA MAMA SAMIA WAPOKELEWA LINDI.

    September 15, 2025
  • RAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA KUPITIA NA KUJADILI AFUA ZA LISHE APRIL- JUNI 2025.

    September 13, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.