• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KILWA YANG’ARA NA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 45

Posted on: October 18th, 2025

KILWA YANG’ARA NA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 45. 

Timu ya Watalaam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi ikiongozwa na katibu tawala msaidizi uchumi na uzalishaji ndugu Mwinjuma Mkungu imefanya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo iliyoetekelezwa kwa mwaka wa Fedha 2024/2025 katika halmashauri kilwa katika kata za miguruwe na Njinjo ambapo miradi 6 yenye thamani ya Bilioni 1,16 imetembelewa na kukaguliwa . Miradi hiyo ni Ujenzi wa kituo cha Afya zinga gharama ni Milioni 600, Ujenzi wa zahanati ya njinjo na nyumba ya watumishi wa afya Milioni 249, Ujenzi wa mnada wa mifugo Milioni 100, ukarabati wa shule ya msingi kipindimbi 100, Ujenzi wa madarasa mawili 40, Ujenzi wa stand nangurukuru awamu ya pili, kutembelea mradi wa maji mavuji wenye thaman Bilioni 44, Ujenzi wa nyumba ya watumishi walimu 95, Ujenzi wa Nyumba ya Mkurugenz 220, Ujenzi wa mabweni mawili na madarasa manne 325. Aidha, timu hiyo ilipongeza juhudi za Halmashauri hiyo katika kusimamia na kutekeleza miradi na kuwataka kuendelea kikamilisha miradi hiyo kwa wakati.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MIRADI YA MAENDELEO YA BIL 8 YAKAGULIWA LIWALE

    October 17, 2025
  • KILWA YANG’ARA NA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 45

    October 18, 2025
  • WATAALMU WA KILIMO NA UFUGAJI LINDI WATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAZAO YA BIASHARA.

    October 18, 2025
  • RC LINDI ARIDHISHWA NA HATUA YA UJENZI WA BANDARI YA UVUVI KILWA

    October 15, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.