• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AWATAKA WANANCHI KUTUNZA MIUNDOMBINU

Posted on: April 11th, 2023

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru wa Taifa Ndg. Abdalla Shaib Kaim amewataka wananchi wa Halmashauri ya Mtama kuitunza miundombinu inayojengwa kwenye maeneo yao.

Ndg. Shaib ameyasema hayo Leo  jumanne wakati akiweka jiwe la msingi kwenye mradi wa ujenzi wa barabara mita 800  unaotekelezwa na mfuko wa jimbo la Mtama chini ya Mshauri elekezi, Wakala wa Barabara Vijijini, TARURA kupitia Mkandarasi wake SUMA JKT Construction Co. Ltd.

Akizungumza na wananchi wa Mtama, Ndg. Shaib amesema kuwa miundombinu ya barabara inayojengwa inapaswa kutumia na kuitunza ili iwe imara na madhubuti.

"Ndugu Wananchi, tinapaswa kutumia miundombinu hii ya barabara kwa kuitunza na kuifanya iwe imara na madhubuti zaidi, Kwa sababu Barabara hizi zinatuhusu Sisi....hivyo lazima tuthamini fedha yetu ya Tanzania." Amesema kiongozi huyo.

Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ujenzi wa barabara kila mwaka kupitia mfuko wa jimbo la Mtama.

Mhe. Nape ameongeza kuwa Mhe. Rais anaendelea kutoa fedha Kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya Halmashauri ya Mtama ili kuboresha mazingira ya wananchi.

Akieleza maendeleo ya mradi huo mbele ya Mwenge wa Uhuru, Meneja wa TARURA Eng. Dawson Paschal amesema kuwa ujenzi wa barabara hiyo inayotoka Mtama makao makuu kuelekea zinapojengwa Ofisi za Halmashauri ya Mtama kwa kiwango cha lami umefikia asilimia 52 ambapo gharama halisi za mradi ni Tsh. 499,887,000.00.

Pamoja na mradi huo, Mwenge wa Uhuru imeweka mawe ya msingi katika Miradi 3, umezindua mradi 1, umeona na kutembelea Miradi 8. Mwenge wa Uhuru umeridhika na kuipitisha Miradi yote 12 ya Halmashauri ya Mtama.

Halmashauri ya Mtama imekuwa ya kwanza kuukimbiza Mwenge wa Uhuru baada ya Mkoa wa Lindi kukabidhiwa mapema Leo asubuhi kutoka Mkoa wa Mtwara

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.