• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

LINDI MWAMBAO WAKABIDHI MADAWATI 150 , MATAIRI 4 YA GARI NA VITI MWENDO 2

Posted on: November 20th, 2024

Chama kikuu cha ushirika Lindi Mwambao kimekabidhi madawati 150, Matairi ya Gari Manne  na Viti mwendo viwili kwa ajilia ya kutimiza nguzo ya saba kwa kurejesha faida kwa jamii.

Akipokea vifaa hivyo kwaniaba ya wananchi, Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Victoria Mwanziva  amekipongeza chama kikuu cha ushirika  Lindi Mwambao kwa kurejesha faida kwa jamii .
“Naombeni mpokee salamu kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack anatambua na kuthamini kazi kubwa mnayofanya , kazi yenu ni nzuri, kazi yenu ni njema lakini mmekuwa chombo cha kuunganisha vyama vyetu vya msingi, na wakulima wetu , mmekuwa chombo cha kuhakikisha wakulima wanapata haki zao, nawapongeza bodi, Makamu mwenyekiti, meneja na stafu wote kwa kufanya kazi kubwa sana” - Amesema Dc Mwanziva.
Madawati hayo yatakwenda kutumika katika shule za msingi, Matairi kwa ajili ya gari la jeshi la Polisi na Viti mwendo kwa ajili ya watoto wenye ulemavu.

Makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya Ofisi ya Lindi Mwambao iliyopo Mitwero kata ya Rasbura Manispaa ya Lindi leo Novemba 20, 2024 ,

Mhe.Mwanziva ametumia fursa hiyo kuwasihii  wananchi kuhakikisha wana shiriki kusikiliza sera za wagombea ambao wanawania nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Kampeni hizo zimeanza leo tarehe 20 mpaka 26 Novemba 2024.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Lindi Mhe. Frank Magali amempongeza Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri katika sekta ya Kilimo  ambayo imeboresha maisha ya wakulima kuwa mazuri.

@owm_tz
@wizara_ya_kilimo
@lindi_mwambao_official

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.