• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

Posted on: May 23rd, 2025

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amewataka Maafisa Habari kujitokeza hadharani kujibu na kutoa ufafanuzi sahihi kuhusu maendeleo yanayofanywa na Serikali, hususan pale ambapo upotoshaji wa makusudi unapotokea.

Akifungua kikao kazi cha Maafisa Habari wa Mikoa, Halmashauri, na Taasisi za Ofisi ya Rais - TAMISEMI kilichofanyika Dodoma Mei 23, 2025, Mchengerwa aliwakumbusha wajibu wao wa kuzungumza ukweli kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mchengerwa alionya dhidi ya kuwaruhusu Watanzania kuzoea kulishwa taarifa potofu na watu wenye nia mbaya hivyo aliwataka Maafisa Habari kwenda kutoa habari sahihi na kueleza mazuri yanayofanywa na Serikali.

“Tusiwafanye watanzania kuzoea kulishwa taarifa potofu, nendeni mkatoe ufafanuzi na habari sahihi ikiwemo kuzungumzia mazuri yanayiendelea Tanzania” alisisitiza Mchengerwa.

Mchengerwa alitaja kuwa bajeti ya TAMISEMI kwa mwaka 2025/26 ni Trilioni 11.7, ambayo ni asilimia 21 ya bajeti yote ya Serikali hivyo, alihimiza Maafisa Habari kuitangaza na kuisemea miradi hiyo kwenye vyombo vya habari .

Kwa upande wake Kaimu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, Mhandisi Novatus Mativila, aliwataka Maafisa Habari kufanya kazi kwa juhudi na ubunifu huku wakizingatia wakati uliopo.

Akiwasilisha mada Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba, alihimiza Maafisa Habari kuongeza ubunifu katika kazi zao, ikiwemo kutumia mitandao ya kijamii na redio.

Dkt.Rioba alisema kuwa kufanya hivyo kutasaidia kufikisha maudhui bora kwa jamii, hatua ambayo itachangia wananchi kutambua shughuli za Serikali na kuendelea kuiunga mkono.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • KARIBU MWENGE WA UHURU MKOA WA LINDI

    May 24, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 201 ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI ZAOKOLEWA NA TAKUKURU LINDI

    May 23, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU MKOA WA LINDI

    May 26, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.