• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MAAFISA UGANI LINDI WAKABIDHIWA PIKIPIKI.

Posted on: March 13th, 2023

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Ndg. Ngusa Samike Leo Jumatatu amezindua zoezi la ugawaji wa pikipiki zilizotolewa na Serikali kupitia Wizara ya Kilimo.

Akizindua ugawaji wa pikipiki 291 zilizotolewa kwa Maafisa Kilimo wa Mkoa wa Lindi, Ndg. Ngusa Samike amewataka Maafisa Kilimo kuzitumia pikipiki hizo kwa shughuli ya kuihudumia jamii na si vyinginevyo. Amesisitiza kuwa upatikanaji wa pikipiki hizo uendane na matokeo chanya kwenye sekta ya Kilimo.

Ndg. Ngusa amewaasa pia Maafisa hao kutumia pikipiki hizo kwa umakini na tahadhali ili kujilinda na ajali ambazo zimekuwa zikigharimu maisha ya wataalam wa Serikali.

Awali Akizungumza mbele ya Maafisa Kilimo, Katibu wa Chama cha Mapinduzi Ndg. Barnabasi Esau amewasihi Maafisa hao kuzitunza na kuzihudumia pikipiki hizo ili zidumu na kuleta tija.

Akisoma taarifa ya ugawaji wa pikipiki hizo, Ndg. Majid Myao amesema kuwa awamu ya kwanza Mkoa wa Lindi ulipokea pikipiki 6, awamu ya pili Mkoa ulipokea pikipiki 23 na awamu ya tatu Mkoa umepokea pikipiki 262 na kufanya idadi ya pikipiki zilizotolewa kwa Mkoa kufikia 291 ambazo pikipiki 3 zimetolewa kwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na jumla ya pikipiki 288 zimepelekwa kwa Maafisa Kilimo na Maafisa Ushirika.

Akizungumza kwa niaba ya Maafisa ugani, Bi. Amina Pemba ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kwa kutatua changamoto ya Maafisa ugani katika utoaji wa huduma kwa wakulima. Amesema kuwa kwa sasa wakulima watapata huduma kwa wakati Kwa kuwa uwezo wa kuwafikia umeimarishwa.

 Pikipiki hizo zinatolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya kiongozi mahili Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni mwendelezo wa kuimarisha mazingira ya wataalam wake katika kuwahudumia wananchi kwa wakati na uhakika.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.