• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MADAKTARI WA DKT. SAMIA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA BOBEZI KATIKA HOSPITALI 7 ZA WILAYA, MKOANI LINDI.

Posted on: September 15th, 2025


MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA RAIS SAMIA AWAMU YA NNE YATUA LINDI.

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary ametoa rai kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kupata huduma za afya za kibingwa na bobezi zilizoletwa na serikali katika hospitali zilizopo katika Halmshauri zao kwa lengo la kuhakikisha kila mtanzania anapata huduma bora za kibingwa bila ya kutumia gharama kubwa za usafiri.

Katibu Tawala ametoa rai hiyo katika hafka fupi ya mapokezi ya madaktari bingwa na bobezi 49 waliowasili Mkoani Lindi kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi pamoja na kubadilishana uwezo na ujuzi wa kiutendaji na watumishi wengine wa afya waliopo katika vituo.

"Tunaendelea kuishukuru serikali kwa kusogezea huduma hizi kwa wananchi pamoja na dhamira yake ya dhati ya kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi wake kwa kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma, kuajiri watoa huduma, kuhakikisha uwepo wa madawa na vifaa tiba katika vituo vya afya pamoja na kuleta timu za madaktari bingwa na bobezi ili wananchi waendelee kunufaika na kuboresha afya zao"

Aidha, RAS Zuwena amewataka watumishi waliopo kwenye vituo kutoa ushirikiano wa kutosha kwa madaktari hao na wawe tayari kujifunza ili waweze kunufaika na kuboresha utoaji wa huduma na kuhamaisha wananchi juu ya uwepo wa huduma za kibingwa ili waweze kushiriki kikamilifu na kupata tija.
 
Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa Bi. Juliana Chikoti ameeleza kuwa madaktari hao bingwa na bobezi 49 waliopokelewa wanakwenda kutoa huduma katika Hospitali za halmashauri 6 ambapo huduma watakazozitoa ni pamoja na magonjwa ya akina mama,
Huduma za Upasuaji,Ganzi na Usingizi,huduma za Uzazi na watoto wachanga,Kinywa na meno.

"Hii itasaidia huduma kusogea karibu zaidi na wananchi, kubadilishana uzoefu na kuongeza uwezo. Wananchi wakaribie kwa wingi katika kambi za madaktari bingwa ili waweze kupata huduma hizi"

Dkt. Nkunde Ramadhan, Daktari bingwa wa Upasuaji amesema"Ujio huu ni kwa ajiri ya watz ambao serikali imeona ni vyema iwaletee matibabu ya kibingwa na bingwa bobezi katika maeneo ambayo hawawezi kuyapata kirahisi na nina uhakika tunaenda kufikisha na kutoa huduma bora kwa masilahi ya watanzania wenzetu"MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA RAIS SAMIA AWAMU YA NNE YATUA LINDI.

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary ametoa rai kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kupata huduma za afya za kibingwa na bobezi zilizoletwa na serikali katika hospitali zilizopo katika Halmshauri zao kwa lengo la kuhakikisha kila mtanzania anapata huduma bora za kibingwa bila ya kutumia gharama kubwa za usafiri.

Katibu Tawala ametoa rai hiyo katika hafka fupi ya mapokezi ya madaktari bingwa na bobezi 49 waliowasili Mkoani Lindi kwa ajili ya kutoa huduma za kibingwa kwa wananchi pamoja na kubadilishana uwezo na ujuzi wa kiutendaji na watumishi wengine wa afya waliopo katika vituo.

"Tunaendelea kuishukuru serikali kwa kusogezea huduma hizi kwa wananchi pamoja na dhamira yake ya dhati ya kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi wake kwa kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma, kuajiri watoa huduma, kuhakikisha uwepo wa madawa na vifaa tiba katika vituo vya afya pamoja na kuleta timu za madaktari bingwa na bobezi ili wananchi waendelee kunufaika na kuboresha afya zao"

Aidha, RAS Zuwena amewataka watumishi waliopo kwenye vituo kutoa ushirikiano wa kutosha kwa madaktari hao na wawe tayari kujifunza ili waweze kunufaika na kuboresha utoaji wa huduma na kuhamaisha wananchi juu ya uwepo wa huduma za kibingwa ili waweze kushiriki kikamilifu na kupata tija.
 
Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa Bi. Juliana Chikoti ameeleza kuwa madaktari hao bingwa na bobezi 49 waliopokelewa wanakwenda kutoa huduma katika Hospitali za halmashauri 6 ambapo huduma watakazozitoa ni pamoja na magonjwa ya akina mama,
Huduma za Upasuaji,Ganzi na Usingizi,huduma za Uzazi na watoto wachanga,Kinywa na meno.

"Hii itasaidia huduma kusogea karibu zaidi na wananchi, kubadilishana uzoefu na kuongeza uwezo. Wananchi wakaribie kwa wingi katika kambi za madaktari bingwa ili waweze kupata huduma hizi"

Dkt. Nkunde Ramadhan, Daktari bingwa wa Upasuaji amesema"Ujio huu ni kwa ajiri ya watz ambao serikali imeona ni vyema iwaletee matibabu ya kibingwa na bingwa bobezi katika maeneo ambayo hawawezi kuyapata kirahisi na nina uhakika tunaenda kufikisha na kutoa huduma bora kwa masilahi ya watanzania wenzetu"

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI WA DKT. SAMIA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA BOBEZI KATIKA HOSPITALI 7 ZA WILAYA, MKOANI LINDI.

    September 15, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA BINGWA BOBEZI AWAMU YA NNE YAANZA KAZI MKOANI LINDI

    September 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA MAMA SAMIA WAPOKELEWA LINDI.

    September 15, 2025
  • RAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA KUPITIA NA KUJADILI AFUA ZA LISHE APRIL- JUNI 2025.

    September 13, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.