• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MAONESHO YA MADINI LINDI KUFANYIKA JUNI 11 HADI 14, 2025

Posted on: May 10th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake amewakaribisha wananchi na wadau wa madini wote wa ndani na nje ya nchi katika maonesho ya Madini na fursa za uwekezaji . ( 2nd Lindi Mining Expo 2025 ).


"Mkoa wa Lindi tunatarajia kufanya Maonesho ya pili ya Madini tarehe 11 mpaka tarehe 14 mwezi wa sita, Maonesho haya yatafanyika kwenye viwanja vya madini vilivyopo wilaya ya Ruangwa na yataandamana na ratiba mbalimbali" Mhe. Telack rC Lindi.


Mhe. Telack amesema kuwa Maonesho hayo ya pili ya Madini yanatarajiwa kuambatana na shughuli mbalimbali ambazo zitakuwa na tija zaidi kwa yeyote ambaye anavutiwa, anajishughulisha ama anatarajia kujishughulisha na madini hivyo kila mwananchi na mdau wa madini aone fursa ya kushiriki Maonesho hayo muhimu kwa Mkoa na Taifa kwa ujumla .


"Nitumie nafasi hii kuwakaribisha wote ambao wanafanya shughuli za madini wanaochenjua, wanaonunua, wanaochimba waje kwenye maonesho hayo ili kuona fursa mbalimbali zilizopo za Madini zilizopo Mkoa wa Lindi.


Ameongeza kuwa katika Maonesho hayo kutakuwa na wafanya biashara wa iana zote wakubwa na wadogo hivyo ni sehemu muhimu sana ya kukutana na wadau mbalinbali.


Aidha, Mhe. Telack ametaja baadhi ya Madini ambayo yanapatikana zaidi Mkoa wa Lindi pamoja na Dhahabu, kinywe (Graphite), Mabo ya blue ambayo tanzania yanapatikana sehemu chache sana na Nikel .


Amesisitiza kuwa makampuni yenye mitambo na vifaa mbalimbali ya uchimbaji wa madini wanakaribishwa zaidi kwani wachimbaji wengi hasa wadogo hawafahamu baadhi ya vifaa na namna ya kuvipata na kuvitumia.


Ameeleza kuwa Maonesho haya ni namna ya kuunga mkono jitihada za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha mazingira rafiki ya uwekezaji, kuinua uchumi wa wananchi na taifa kupitia sekta ya madini.


Kauli Mbiu ya Maonesho haya inasema " Madini na Uwekezaji Fursa ya Kiuchumi Lindi, Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025 ?

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RC LINDI - WAKULIMA MSIKUBALI KULANGULIWA

    May 19, 2025
  • RC ZAINAB TELACK MGENI RASMI JUKWAA LA MAENDELEO YA USHIRIKA 2025

    May 18, 2025
  • USHIRIKA LINDI YATEKELEZA MSINGI WA SABA KWA KUIGUSA JAMII YA GEREZA KUU LINDI

    May 18, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI APONGEZA MAANDILIZI MAZURI YA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU MANISPAA YA LINDI

    May 17, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.