• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MAONESHO YA NANENANE NI JUKWAA LA KUJIFUNZA TEKNOLOJIA MPYA ZA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI.

Posted on: August 1st, 2025

Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Lindi Ndg. Mwinjuma Mkungu ameeleza kuwa Maonyesho ya nanenane yanatumika kama Jukwaa la kujifunza teknolojia bora za kuongeza uzalishaji katika zekta za kilimo, mifugo na uvuvi.


Akizungumza mbele ya viongozi wa serikali, wakulima, wadau wa maendeleo, wanafunzi na wananchi mbalimbali, Mkungu  amepongeza juhudi za serikali zenye lengo la kuinua kipato cha mkulima na kuboresha maisha yake kwa kutoa pembejeo za kilimo bure kwa zao la korosho ambalo ndio zao kuu la biashara kwa wakulima wa mikoa ya Lindi na Mtwara.


"Jumla ya Bilioni 305.9 zilitolewa na serikali ili kufanikisha zoezi la ugawaji wa pembejeo za kilimo bure kwa wakulima wa korosho ambapo 70 % ya wanufaika wa pembejeo hizo ni wakulima wa Mikoa ya Lindi na Mtwara ambao walipata sulphur pamoja na dawa za viuwatilifu vya kuulia wadudu" ameeleza


 Aidha, amewapongeza wataalamu wa Halmashauri za Mikoa kwa jitihida zao za kutoa elimu ya kilimo bora, kusambaza pembejeo, na kuhamasisha matumizi ya teknolojia za kisasa kwa wakulima vijijini hivyo kuleta ongezeko la tija katika kilimo, uboreshaji wa matumizi ya teknolojia na uanzishwaji wa viwanda vinavyochakata mazao ya wakulima.


"Juhudi mnazozifanya kwa kushirikiana na wakulima, taasisi za utafiti, sekta binafsi na wadau wengine ni za kupongezwa. Mmekuwa chachu ya mabadiliko ya kweli katika kilimo cha Kanda ya Kusini,” aliongeza.


Maonesho hayo yamehudhuriwa na washiriki kutoka taasisi mbalimbali za utafiti wa kilimo, vikundi vya wakulima, sekta binafsi, halmashauri na wanafunzi, ambapo wanatumia jukwaa hilo kuonyesha ubunifu, mafanikio, bidhaa na teknolojia mpya zenye uwezo wa kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo.


Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini yataendelea hadi tarehe 8 Agosti 2025, yakitoa fursa kwa wananchi na wadau wa kilimo kujifunza, kubadilishana uzoefu na kujionea mafanikio ya sekta ya kilimo kwa vitendo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI WA DKT. SAMIA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA BOBEZI KATIKA HOSPITALI 7 ZA WILAYA, MKOANI LINDI.

    September 15, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA BINGWA BOBEZI AWAMU YA NNE YAANZA KAZI MKOANI LINDI

    September 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA MAMA SAMIA WAPOKELEWA LINDI.

    September 15, 2025
  • RAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA KUPITIA NA KUJADILI AFUA ZA LISHE APRIL- JUNI 2025.

    September 13, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.