• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Government Communication
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MFUMO WA BEI NA MINADA NI USHINDANI HALISI UNAOTOKANA NA SOKO HURU LA KIMTANDAO- DC NGOMA

Posted on: November 10th, 2025

MFUMO WA BEI NA MINADA NI USHINDANI HALISI UNAOTOKANA NA SOKO HURU LA KIMTANDAO- DC NGOMA


Chama Kikuu cha Ushirika cha RUNALI kimeendesha mnada wake wa kwanza wa zao la korosho kwa msimu wa 2025  kwa mafanikio baada ya wakulima kutoka katika Wilaya za Ruangwa, Nachingwea na Liwale kuridhia kuuza Kg. 20, 630, 516 za korosho kwa bei ya juu ya Sh. 2,610 na ya chini Sh. 2,460 kwa kilo.


Akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma amesisitiza kuwa bei na mfumo wa mnada unatokana na soko huru la mtandaoni unaoleta ushindani wa kweli na kuzitaka mamlaka zinazohusika kushughulikia mapema malipo ya wakulima ili waweze kupata fedha zao kwa wakati.

"Tunasisitiza na kukumbushana kuwa bei na mfumo na kuuza inatokana na soko huru la mtandaoni unaotokana na ushindani halisi, tunavyopata bei nzuri ni bei halisi ya soko. Tunaenda kupokea fedha kwa pamoja, tusaidizane kwenye uadilifu, tukatumie kwa matumizi yetu na kwa ajiri ya maandalizi ya msimu ujao" Mhe. Ngoma.


Bi. Consolata Kiruma, kwa niaba ya Mrajisi Mkuu wa Vyama vya Ushirika amewashukuru wakulima waliohudhuria na kufanikisha mauzo hayo na kusisitiza umuhimu wa kuendelea kusimamia ubora wa korosho, hususan katika hatua ya ukaushaji ili kufikia viwango vya soko la kimataifa.


"Tuzingatie ubora kama tunavyoelekeza na wataalamu ili tuendelee kutunza sifa za mazao yanayopokelewa na vyama vyetu, Wilaya na Mkoa. Katika vyama vyetu tuzingatie misingi, maadili, uaminifu na uadilifu ili viendelee kuaminika na kuimarika. Kila mmoja kwa nafasi yake atimize wajibu wake" amesisitiza Bi. Amina Njoro, mkulima kutoka Ruangwa amesema,


“Mnada wa leo umetupatia matumaini, tunaiomba serikali iendelee kuimarisha utendaji wa vyama vyetu ili wakulima wanufaike zaidi. Bei imekua nzuri na tumeikubali tunaomba serikali izidi kutusimamia kupitia mfumo huu” Mkurugenzi wa Bodi ya Korosho (CBT), Francis Alfred, amewapongeza wakulima wote walioshiriki mnada huo na kuwataka kuendelea kusimamia ubora na thamani ya zao la korosho kwa ustawi endelevu wenye tija hususan katika hatua ya ukaushaji wa korosho ili kuweza kupata korosho yenye tija na ubora unaokidhi viwango na mahitaji ya soko.







Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MWEKEZAJI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA MABAKI YA NAZI NA MAGANDA YA KOROSHO ASAINI MKATABA LINDI.

    November 13, 2025
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    November 13, 2025
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    November 13, 2025
  • RAS LINDI: AKAGUA UJENZI NA UKARABATI WA MIUNDOMBINU YA OFISI YA MKUU WA MKOA

    November 12, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.